Hao wa mikopo ndio hatuwataki, maana hau uchangia kufilisi biashara na kibaya zaidi wengine hadi wanafilisika hawalipi mafuta, mfano Scandinavian Express hadi snafilisika alikuwa na deni la mafuta la karibu Bilioni 2 kutoka PUMA (Zamani BP ), maana yake bilioni mbili iko nje ya mzunguko wa biashara na haitarudi,
Hapa ni Cashmoney ubaoni...
Ukimlea mteja sana anakuacha na hasara.
kwanza margin kwa litre ni ndogo halafu bado mtu aje alipe mwisho wa mwezi hiyo hapana mzeiyaah...
Don't entertain credit on business...
Ebu pata picha mtu uweke kituo cha mafuta mbezi beach,tena pembeni ya barabara hicho kiwanja utauziwa bei gani? Au Kule masaki kiwanja pemben ya barabaraHahaaa, watu hawapo serious kabisa
Watu hupenda sana kupotosha au kukatisha tamaa wenzao; nadhani aliyotoa hiyo bei ya TZS 700 million anaweza kuwa sahihi maana gharama kubwa hapa ni kununua matenk na pump pamoja na paving na nyumba ya ofisi.usiogope mkuu, hata ujenzi mwingine kama wa ghorofa moja kwenye eneo la square meter 70 kuna wanaosema inajengwa kwa milion 300 , lakini ukweli ni kwamba hata milion 100 haiishi
Eneo lipo tayari.Watu hupenda sana kupotosha au kukatisha tamaa wenzao; nadhani aliyotoa hiyo bei ya TZS 700 million anaweza kuwa sahihi maana gharama kubwa hapa ni kununua matenk na pump pamoja na paving na nyumba ya ofisi.
Mkuu eneo unalo tayari?
Ndio maana ukaambiwa hiyo pesa ni ndogo sana,Hao wa mikopo ndio hatuwataki, maana hau uchangia kufilisi biashara na kibaya zaidi wengine hadi wanafilisika hawalipi mafuta, mfano Scandinavian Express hadi snafilisika alikuwa na deni la mafuta la karibu Bilioni 2 kutoka PUMA (Zamani BP ), maana yake bilioni mbili iko nje ya mzunguko wa biashara na haitarudi,
Hapa ni Cashmoney ubaoni...
Ukimlea mteja sana anakuacha na hasara.
kwanza margin kwa litre ni ndogo halafu bado mtu aje alipe mwisho wa mwezi hiyo hapana mzeiyaah...
Don't entertain credit on business...
Hapana mkuu, pump mpya kabisa ni million 20-30, matank ya mafuta ujazo lita 50,000 ni kati ya tshs 8-15million canopy ya juu 15million, paving kwa square meter 40,000. Hivyo basi kituo chenye pump 3 za kutolea mafuta na tank 2 kubwa za liter 50,000 diesel na petrol gharama zake ni kati ya 80,000,000 - 150,000,000.source from ewura.Watu hupenda sana kupotosha au kukatisha tamaa wenzao; nadhani aliyotoa hiyo bei ya TZS 700 million anaweza kuwa sahihi maana gharama kubwa hapa ni kununua matenk na pump pamoja na paving na nyumba ya ofisi.
Mkuu eneo unalo tayari?
Nyumba ya ofisi na Paa juu ya Pump umejumlisha?Hapana mkuu, pump mpya kabisa ni million 20-30, matank ya mafuta ujazo lita 50,000 ni kati ya tshs 8-15million canopy ya juu 15million, paving kwa square meter 40,000. Hivyo basi kituo chenye pump 3 za kutolea mafuta na tank 2 kubwa za liter 50,000 diesel na petrol gharama zake ni kati ya 80,000,000 - 150,000,000.source from ewura.
Canopy ya juu ya pump / paa juu ya pump =15millionNyumba ya ofisi na Paa juu ya Pump umejumlisha?
I wish ningekuwa na kiwanja huu mradi mzuri wa kustaafia badala ya kula vumbi ya unga kwenye mradi wa mashine ya kusagaCanopy ya juu ya pump / paa juu ya pump =15million
Inawezekana mbona.I wish ningekuwa na kiwanja huu mradi mzuri wa kustaafia badala ya kula vumbi ya unga kwenye mradi wa mashine ya kusaga
Mueleze huyo....Sina taarifa kamili......
Labda ufanye kazi za super dealer... Kwa mfano unapewa kituo ambacho kipo tayari,unakua unauza products zao tu.. Kama Puma,Total au Engen... na unakua unakula hela kwa commission kutokana na mauzo yako.... La sivyo ku operate kituo cha mafuta sio lelemama mkuu
Vifaa waone BIGBON pale KariakooHabari waungwana.
Naomba kujua hatua za mwanzo jinsi ya kuanzisha kituo cha Mafuta, gharama na utaratibu wote kuanzia namna ya kupata matenki pamoja na mashine zake. Na ni wapi naweza kupata vifaa hivyo hasa kati ya Mwanza ama Dar, na kama kuna utofauti wowote wa kuanzisha kituo kidogo ama kikubwa.
Naomba kuwasilisha.
700M haitoshi kwa kuanzia acha kukatisha tamaaAcha utani wewe kituo Cha mafuta hakijengwi kwa pesa ya kununulia nyanya.
Kivipi mkuu!?Huu uzi unazidi kuwa burudani
Asante mkuu.Vifaa waone BIGBON pale Kariakoo