all in all,kila la heri msisite kuja kutupa mrejesho hapa.ni ni kaz imechangwa course tofaut tofauti so its possible
all in all,kila la heri msisite kuja kutupa mrejesho hapa.ni ni kaz imechangwa course tofaut tofauti so its possible
Sawa mkuuPunguza wivu mkuu.
Hio haitoki mkuu...mkuu na swali lake linakujaje, kama hutojali unaweza toa mfano hili tupate uelewa
Umekua ukienda interview kada ipi mkuu?written ya utumishi au? kama hivyo mlipata bahati sana,mimi nimeshafanya intervw nyingi utumish sijawah kukuta maswali marahisi hivi kwenye written,sana sana nachojua ukienda oral swali la kwanza ni introduce yourself,la pili mention duties za kazi ulioomba baada ya hapo ni maswali mengine ya darasani tu
hongeraa kwakua selected mkuuHello wana JF,
Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.
Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?
Asanteni
hongeraa kwakua selected mkuu
Usimpe hongera. Muulize wamechaguliwa wangapi?hongeraa kwakua selected mkuu
simshauri mtu aanze kufikiria wameita wangapi wewe jiandae vizuri tu na interview,ukijiandaa vizuri unakua na nafasi kubwa ya kushinda,sio kila alieomba hizi kazi yupo serious. ,imagine hao walifanyaga intervw angalia ni 50 tu wamefika alama 60 kati ya watu 3015,sasa jiulize hao wengine waliopata 2 ,4 walijiandaa kweli.View attachment AssistantCustomsOfficer(2).pdfUsimpe hongera. Muulize wamechaguliwa wangapi?
Inaonyesha umezoea kuibia mitihani darasani.Hello wana JF,
Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.
Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?
Asanteni
Current issues za uchumi especially kama hii ya uchumi wa katiHello wana JF,
Naomba msaada wa ideas za maswali ya written kwa nafasi ya Customs Officer kwa TRA.
Kwa aliewahi kufanya je utumishi wanauliza nini, na je ni current issues gani za kupitia hasa hasa, na kama ni research ni upande upi zaidi wa kupitia?
Asanteni
Vipi yametoka?Kitabu cha public finance and taxation nasikia humu
Leo leoKuna uwezekano interview kufanyika kesho siku ya saba saba (public holiday) au wameshasogeza mbele kama kawaida yao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kilichotoka huko.Vipi yametoka?
Sasa wametoa nini?Hamna kilichotoka huko.
Duh mkuu yani hawa jamaa wa utumishi ni hatari hakuna chochote wametoa vitu vingine kabisaVipi yametoka?
We acha tu mkuu haya maisha kuna wakati unapambana mpaka akili inachoka aisee embu ngoja tuone matokeo yatakapotoka ila dah watu wametoka hadi kigoma alafu unakuja unakuta patupu yani hatari kabisaPoleni sana kamanda wangu! Mishe za utumishi hua zinachosha sana! Nauli kama umetoka mkoa,halafu unakuta swali ambalo hata hulijui kabisa