Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
- #21
Unakuta demu anajikuna kule mahali na baadaye anarekebisha chupi imeingia kwenye upwito halafu anakuja kukupa mkono looo.....tuendelee na mapishi!
iiiiiiyuuuuuuuuuuuu that is so gross!..yaani umeniudhi sana tuu shem....yeah tuendelee na mapishi maana umeniharibia siku yangu napata breakfast alafu unaniongelesha hivyo....
Anyways....miye nilivyokuwa shule sikuchukua cookery so ikawa shida sana kwenye masuala ya kupika ila now i am interested though nipo kwenye mambo ya fashion designing lakini nadhani inabidi nijue na kupika.....i need recipe ya mambo najua kupika ugali though don't get me wrong...kutengeneza chai ya masala scrambled eggs pia najua