Msaada wa mapishi

Binti Maringo

JF-Expert Member
Jul 4, 2007
2,804
88
Habari zenu wa jf...nilikuwa naomba msaada wa jinsi ya kutengeneza Catlesi (katlesi sijui spelling zake miye hivyo hivyo juu kwa juu).....kama kuna mtu anajua please naomba anipe recipe zake how to make them i mean from scratch......miye hapa ni zero kabisa.....


thanks!
 
Pole sana shem hata kutengeneza Catlesi umesahau? Njoo week end nitakusaidia... kwa vitendo!
 
Pole sana shem hata kutengeneza Catlesi umesahau? Njoo week end nitakusaidia... kwa vitendo!


Shem bana vipi!...ww mwenyewe hujui alafu unanuliza miye.....at least nime admit sijui ili niweze kupata darasa....hahahahahah
 
Ilikuwa nusu nijing'ate ulimi bwana! tulikuwa tunatumia vijiko

both! ulimi na kidole shem......since when ugali ukatumia kijiko au pilau ukala kwa kijiko....linafaa kula na mkono ile kiswahili swahili...ila real talk shem now nataka kuanz akujifunza kupika kwa bidii zote....heheheheeh!..
 
both! ulimi na kidole shem......since when ugali ukatumia kijiko au pilau ukala kwa kijiko....linafaa kula na mkono ile kiswahili swahili...ila real talk shem now nataka kuanz akujifunza kupika kwa bidii zote....heheheheeh!..

Usiache kunicontact for some tips! Mimi hata muhindi wa kuchoma nakula kwa kisu, umma na kijiko! usipime
 
alafu pia nataka kujua jinsi ya kutengeneza vitumbua na pilau la pilipili hoho.../
 
Oooh mambo ya kula na mikono nimemwachia Yo Yo! Mimi kitu na box

hukumbuki kula mkono sinia moja watu saba mna share alafu mnatumia mkono duuh that was nasty hapo hata hujui mwenzio kama alinawa mikono or lah au alikuwa wapi.....tulikuwa tuna risk magonjwa unajua,.,.,,
 
hukumbuki kula mkono sinia moja watu saba mna share alafu mnatumia mkono duuh that was nasty hapo hata hujui mwenzio kama alinawa mikono or lah au alikuwa wapi.....tulikuwa tuna risk magonjwa unajua,.,.,,

Hiyo ukienda village huwezi ikwepa! Kuna mshikaji nilimwona anakojoa na kutikisa pipe yake......sikumwona akinawa....baadaye akanipa kipande cha muhogo...nilishinda kukipokea...!
 
Hiyo ukienda village huwezi ikwepa! Kuna mshikaji nilimwona anakojoa na kutikisa pipe yake......sikumwona akinawa....baadaye akanipa kipande cha muhogo...nilishinda kukipokea...!

uuuuugh that is so nasty!...mimi ningemwambia right there kanawe kwanza tafadhali.....huko ni kuambukizana kipindupindu.....au mtu anasokonyoa pua alafu anakuja kukupa mkono kukusalimia.....
 
uuuuugh that is so nasty!...mimi ningemwambia right there kanawe kwanza tafadhali.....huko ni kuambukizana kipindupindu.....au mtu anasokonyoa pua alafu anakuja kukupa mkono kukusalimia.....

Unakuta demu anajikuna kule mahali na baadaye anarekebisha chupi imeingia kwenye upwito halafu anakuja kukupa mkono looo.....tuendelee na mapishi!
 
Back
Top Bottom