Hv huu unyunyu una mils ngap?Sio greed ni creed..andaa 750,000 na kupanda juu.
JD pharmacy mliman city bei lakid
Asee mkuu nitaendaa, kuchukua mzigo huu, natafuta heshima mtaani, nikiwa na hii, nakimbizana na mkurugenzi kabisaa, si unajua tena sisi mashomilee bila heshima bado hatufurahi maisha kabishaaJD pharmacy mliman city bei laki 8
Hii ni ile nje inafungwa tena na kigunia cha mkonge?Sio greed ni creed..andaa 750,000 na kupanda juu.
Hii ni ile nje inafungwa tena na kigunia cha mkonge kwa nje?Sio greed ni creed..andaa 750,000 na kupanda juu.
Kuna moja nilipewa zawadi nilipoendaga nje huko nikarudi nayo yaani unafua nguo alafu yale maji ya kusuuzia unaichukua unamiminina cc3 mle kwenye maji alafu nguo unaanika bila kukamua asee zikikauka huo unyunyu utadhani chupa ulipasukia huko kwenye karai
inashangazaDuuuh kwa hiyo unapiga unyunyu wa laki nane halafu unapanda daladala mkuu?
Ndo manake mkuu, Cjapata ya kununua gari bado kamandaDuuuh kwa hiyo unapiga unyunyu wa laki nane halafu unapanda daladala mkuu?
Unyunyu authentic una balaa lake..shida huku bongo famba nyingi..ukipuliza baada ya kupigwa upepo dk kadhaa,unyunyu badala ya kunukia unakuwa unanuka..Kuna moja nilipewa zawadi nilipoendaga nje huko nikarudi nayo yaani unafua nguo alafu yale maji ya kusuuzia unaichukua unamiminina cc3 mle kwenye maji alafu nguo unaanika bila kukamua asee zikikauka huo unyunyu utadhani chupa ulipasukia huko kwenye karai
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe connection mkuu ya kuagiza nje,,Unyunyu authentic una balaa lake..shida huku bongo famba nyingi..ukipuliza baada ya kupigwa upepo dk kadhaa,unyunyu badala ya kunukia unakuwa unanuka..
Ni bora upambane tu hata uagize nje kama kweli unyunyu ni mambo yako.
Ni kweli mi naagizaga zanzibar hapo bei rahisi sanaUnyunyu authentic una balaa lake..shida huku bongo famba nyingi..ukipuliza baada ya kupigwa upepo dk kadhaa,unyunyu badala ya kunukia unakuwa unanuka..
Ni bora upambane tu hata uagize nje kama kweli unyunyu ni mambo yako.
Kwa madem ndo usiulize mana weng wao wanapenda Harufu nzur, wamekua wakiniuliza sana jina la Unyunyumkuu ahaa vipi watu walikuwa hawakuulizi?? maemu vipi walikuwa hawajikoki kweli?? na hivi shomile tunapendaa sifaa, mi wakiniuliza nawaambiaa inaitwa google ya tsh 5000