Sasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairiNdo manake mkuu, Cjapata ya kununua gari bado kamanda
ahaaa yani wewe bhana.Sasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairi
umetisha kamandaSasa ukisitisha kununua huo unyunyu kwa mwaka mmoja si unavuta Brevis tena namba D kiongozi? Halafu unarudi zako kwenye unyunyu wako wa laki nane huku na mademu wakali ukiwang'oa kiulauni na kuwagongea humo humo ili kusevu pesa ya guest?? Ila ikiamua kwenda kuwagongea coco beach gari hakikisha umeweka hand brake na mawe kwenye matairi
ipo kweny kindoo au dungu la mafutaSio greed ni creed..andaa 750,000 na kupanda juu.
kindoooJamani hiyo manyunyu ya kuuzwa laki 8 ni kwamba iko katika ujazo gani? Pipa au...
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Unaitwaje huo unyunyu?Kuna moja nilipewa zawadi nilipoendaga nje huko nikarudi nayo yaani unafua nguo alafu yale maji ya kusuuzia unaichukua unamiminina cc3 mle kwenye maji alafu nguo unaanika bila kukamua asee zikikauka huo unyunyu utadhani chupa ulipasukia huko kwenye karai
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani hiyo manyunyu ya kuuzwa laki 8 ni kwamba iko katika ujazo gani? Pipa au...
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Jina lake limeandikwa kiarabu arabu ngoja nipige picha nitarusha hapaUnaitwaje huo unyunyu?
Hata usisononeke ndugu yangu ,hiyo creed Kwa harufu iyoiyo unaweza ipata mwenge ,wanapimaa ata ya elfu kumi, ukitaka.ya kukaa mwezi unaipimiwa Kwa 35tu, life is simple🤣Dah
Kwa hizi bei za unyunyu
Kumbe bado sijapata pesa!.
Mkuu Kuna kitu kingine kinaitwa Tomphord ni balaa na nusu
Asisononeke sana au vipiHata usisononeke ndugu yangu ,hiyo creed Kwa harufu iyoiyo unaweza ipata mwenge ,wanapimaa ata ya elfu kumi, ukitaka.ya kukaa mwezi unaipimiwa Kwa 35tu, life is simple
Yaap🤣Asisononeke sana au vipi