Biashara ya mitumba

Biashara ya mitumba

kinywanyuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
3,860
Reaction score
3,096
Wadau salami zenu habari za jpili nilikuwa nahitaji msaada kujua maeneo mazuri kwa hapa dar unayoweza kutembeza mtumba wako ukatoka Bei nzuri maana nimezoea sinza sahizi pameshavamiwa,nguo za kiume zile track nauza, maana naona Kama mtaji unataka kukata
 
Wadau salami zenu habari za jpili nilikuwa nahitaji msaada kujua maeneo mazuri kwa hapa dar unayoweza kutembeza mtumba wako ukatoka Bei nzuri maana nimezoea sinza sahizi pameshavamiwa,nguo za kiume zile track nauza, maana naona Kama mtaji unataka kukata

Zimebaki ngapi ninunue zote ili upate na nauli urudi kwenu mtwara ukalee wajukuu?
 
Aisee vichekesho kweli hivi wewe umpe mtu ushauri wakati wewe ni maskini wa kutupwa? Mazalia ya shule ya kata kwak
No Free Education.
Toa hela upate elimu.
Sisi tuende shule kwa kulipa mamilioni ya pesa halafu nyie mnataka tuwape ujuzi, maarifa na elimu bure.

No Free Education.
Toa hela upate elimu.
Sisi tuende shule kwa kulipa mamilioni ya pesa halafu nyie mnataka tuwape ujuzi, maarifa na elimu bure.
Elimu gani ya motivation
 
Back
Top Bottom