Abu Haarith
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 314
- 165
Habari wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina samsung yangu galaxy A12 ime hard setiwa nahitaji msaada wa kutolewa pass nitalipia huduma
nimejaribu nimeshindwaYoutube kuna tutorial nyingi angalia huko utaona
Imail yako huikumbuki aunimejaribu nimeshindwa
ndioImail yako huikumbuki au
poa nitakupa mrejeshoOkey sasa wewe cheki youtube huwezi kosa, na pia ufate kama video inavyosema.
Search aina ya simu yako mfano samsung A12 google account bypass Without pc
shukrani mkuu nilishafanikiwa ilinibidi niende kariakooNipo na octoplus frp naweza itoa vile vile
Nia chimera nina unlock tool license ebu njoo na ofa yako nikiipend nikufanyie kaz ni second 57 tu kaz kwisha