Kisemvule ipo Pwani wilaya ya MkurangaHiyo kisemvule kipo ndani ya kata hiyo na ukubwa wake vipi na kina vipimo?
Kwa kitonga na Msongola 20m by 20m huwezi kupata kwa 2m tuache masihara, labda Mvuti huko karibu na gereza lilipo.12m x 12m ni kama 1.2m
20m x 20 ni 2m , hapo ni Mvuti, Kitonga Msongola
Njoo ubebe kibaha ,uko foleni bado shida kuingia town
Bei siku zote haipandishi na dalali bali miundombinu na na mahitaji, barabara nzuri Morogoro road, imepanuliwa, mwendo Kasi mpaka Kibaha, mjini kumejaa(consumer behevior). Ingekuwa inapandishwa na dalali Kwanini huko Chanika visipande? Angalia vilivyopanda Bei Kigamboni na Goba.Kibaha viwanja vimepandishwa sana na madalali
Nikiona mtu anaelezea ukubwa wa kiwanja kwa futi nakereka kishenziViwanja Msongola vipo vingi tuu na bei huanzia 2.5m kwa futi 45/40 au 50/40 na kuendelea ....
Hata mimi...naona kabisa huwa ni dalili ya kutaka kulaghaiwaNikiona mtu anaelezea ukubwa wa kiwanja kwa futi nakereka kishenzi