Sasa ni miaka 62 tangu MORTGAGOR a- mortgage eneo lake la ardhi kwa mtu (mortgagee) kwa kiasi pesa ambaye ana miaka 44 amekufa . Mortgagor amekufa some 27 years back . Watoto wa Mortgagor leo 2023 wanadai eneo hilo. Watoto wote wako above 45 yrs.....
Sheria inasemaje. je wanaweza kulikomboa? (redeem)
Sheria inasemaje. je wanaweza kulikomboa? (redeem)