ndiuka
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 620
- 703
Wakuu kuna mwanamke anahitaji msaada wa kisheria juu ya masuala ya talaka, je ni taasisi gan ya kisheria inayotoa msaada wa kisheria kwa wanawake ambayo ipo effective.
Kimsingi mume kavunja ndoa mahakamani bila mke kua na taarifa kama mume kafungua kesi ya talaka, kesi imesikilizwa upande mmoja na hukumu kutolewa mke kashangaa tu anapelekewa hukumu ya mahakama.
Alipojaribu kuomba kesi isikilizwe upya ikarudishwa kwa hakimu yule yule na hukumu ikatoka ile ile.
Mke anaona hajatendewa haki na hajui pa kuanzia hivyo anahitaji msaada wa kisheria
Kimsingi mume kavunja ndoa mahakamani bila mke kua na taarifa kama mume kafungua kesi ya talaka, kesi imesikilizwa upande mmoja na hukumu kutolewa mke kashangaa tu anapelekewa hukumu ya mahakama.
Alipojaribu kuomba kesi isikilizwe upya ikarudishwa kwa hakimu yule yule na hukumu ikatoka ile ile.
Mke anaona hajatendewa haki na hajui pa kuanzia hivyo anahitaji msaada wa kisheria