mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Habari waungwana.
Jamani naomba kujulishwa ninavyojua mimi kuwa Bima (Insurance) ni makubaliano baina ya mwenye mali anaehitaji bima na mtoa huduma.
Kwa kawaida kwa vyombo vya moto bima ya third party naiona haina maslahi kwa mtumiaji kutokana na taratibu zake za malipo.
Swali:
Je, ni kwa nini kuwe na ulazima wa mtu kukata bima wakati amejikubalishabakipatwa na majanga atakabiliana nayo mwenyewe?
Je, kuendesha chombo kikiwa hakina Bima kuna adhabu gani ama faini gani unapopelekwa mahakamani?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naomba kujulishwa ninavyojua mimi kuwa Bima (Insurance) ni makubaliano baina ya mwenye mali anaehitaji bima na mtoa huduma.
Kwa kawaida kwa vyombo vya moto bima ya third party naiona haina maslahi kwa mtumiaji kutokana na taratibu zake za malipo.
Swali:
Je, ni kwa nini kuwe na ulazima wa mtu kukata bima wakati amejikubalishabakipatwa na majanga atakabiliana nayo mwenyewe?
Je, kuendesha chombo kikiwa hakina Bima kuna adhabu gani ama faini gani unapopelekwa mahakamani?
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app