jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Ok!Bima zote zitalipwa kwa muhanga wa janga ila Kama janga litahusishwa kwa third party basi mahakama itasubiriwa kutoa shuruti...
Means comprehensive haimlipi third party au pia sijakuelewa.
Ok!Bima zote zitalipwa kwa muhanga wa janga ila Kama janga litahusishwa kwa third party basi mahakama itasubiriwa kutoa shuruti...
de paymer Ahsante sana kwa somo. Tunaweza kuwa tunajua ufanyaji kazi wa "third party", lakini ulivyotiririka hapa umetuongezea mengi sana. Usichoke na maswali yetu. Hapo mkuu kwenye kesi ya kwanza, ina maana dereva asipokutwa na hatia majeruhi hawezi tena kudai fidia? Na vipi kuhusu zile habari za ajali kutokea na dereva kakimbia (hajapatikana), je ndiyo kusema majeruhi hawezi kudai fidia?
Hapana! Comprehensive ni bima kubwa, inatoa kinga dhidi ya gari yako ww mmiliki pamoja na kinga kwa mtu wa tatu aliepata madhara juu ya gari yako. Ila third party inatoa kinga dhidi ya mtu wa tatu tu.Ok!
Means comprehensive haimlipi third party au pia sijakuelewa.
Asante kwa kutumia muda na mali zako kuufundisha umma.Hapana! Comprehensive ni bima kubwa, inatoa kinga dhidi ya gari yako ww mmiliki pamoja na kinga kwa mtu wa tatu aliepata madhara juu ya gari yako. Ila third party inatoa kinga dhidi ya mtu wa tatu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sanaAsante kwa kutumia muda na mali zako kuufundisha umma.
Ikitokea kwa bahati mbaya ukapata ajali na kufariki wakati ulikuwa unaendesha gari lako ambalo halina bima, na wakati huo ukiwa umeua na/ ama kujeruhi abiria wengine uliokuwa umebeba, mzigo wa hao watu waliojeruhiwa au waliofariki kwenye ajali, unakuwa umewaachia watu wengine. Ili usifanye hivyo, unalazimika kuwa na Bima ili ikitokea bahati mbaya ya namna hiyo, abiria hao waweze kufidiwa na BimaSwali:
Je, ni kwa nini kuwe na ulazima wa mtu kukata bima wakati amejikubalishabakipatwa na majanga atakabiliana nayo mwenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante de paymer kwa kutumia elimu yako na muda kutuelimisha. Wewe wastahili kuwekwa kwenye kundi la walioelimika.Asante ndugu, hata dereva asipo kutwa na hatia waweza kulipwa na kampuni ya bima, pia hata kama dereva akikimbia bado haizuii kulipwa stahiki zako maana yupo mtu mwingne atahusika katika kutoa vielelezo vya gari (mmiliki) na hata kama mmiliki ni dereva bado gari hiyo ina sticker kwaiyo ni rahisi kupata kujua details za bima ya gari husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana ndugu yangu.Ahsante de paymer kwa kutumia elimu yako na muda kutuelimisha. Wewe wastahili kuwekwa kwenye kundi la walioelimika.