Msaada tafadhali kuhusu Bima ya magari mtandaoni

troiker

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
1,429
2,264
Kwa wale wenye uzoefu wa bima mitandaoni naomba msaada wa maelezo.

Kuna gari ilikuwa gereji kwa muda imepona inahitajika bima (thirdy party), mlipaji hana fedha taslimu ya kulipia bima,anataka kulipia kwa instalments.

Je, ni kiwango gani cha chini cha pesa angalau na aina ya insurance provider anaweza lipia mtandaoni akapata sticker? Kuepuka faini?
 
Kulipa kwa awamu ni expensive zaidi, kama anaweza tafuta sehemu alipe kwa mwaka mzima.

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa miezi 6 unalipa 75% ya gharama, na miezi mi3 unalipa almost 50% ya gharama za mwaka.
 
Kulipa kwa awamu ni expensive zaidi, kama anaweza tafuta sehemu alipe kwa mwaka mzima.

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa miezi 6 unalipa 75% ya gharama, na miezi mi3 unalipa almost 50% ya gharama za mwaka.
Asante kwa ushauri mzuri sana na makini,je ikiwa ndani ya miezi mitatu inashuka tena aslimia na unaweza nipatia formula ya kukokotoa?
 
Back
Top Bottom