Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

Hiyo pesa haitosh gar wala Nyumba, take my advice nenda kalime mpunga after six months utakuwa na mil80 , hapo utachukua Klugger ya mil20 , ingine lima tena within two yrs utakuwa na zaid ya mil300 , hapo toa mil100 Jenga, then keep on investing...,
 
Fanya vyote but

Say NO to slavery in Libya and Africa in general.
 
If you are serious need our advise, just take three quarter of your money and go for second hand cars from japan such as toyota premio second generation, toyota run x or allex or any vehicle with the similar appearance and features, the remain amount keep on saving hoping that you will start construction in the coming year. but if you want show off as you seems to be, go for the vehicle that u have mentioned earlier because those vehicle are consuming more fuel that will affect your saving capacity. thanks
Mkuu umeandika kikristo huwa hakipandi kabisa
 
Bora ununue gari siku ukienda tu kulilipia yard njiani lipate ajari upoteze pesa...na gari liharibike ushinde kulitengeneza...
 
Kweli mkuu hata mimi nahis hii hela niliyo nayo haita tosha

Acha kua fala gari sio starehe....ni nyenzo muhimu sana nunua gari simple kama Raum new model hutajuta.....hiyo hela haitoshi kujenga nyumba ikaisha utajenga utafikia mahali hela itakata ukae tena uanze kujikusanya....nyumba ujenge mdogomdogo ukipata hela nunua tofali then mchanga na mawe mdogomdogo 2 years nyumba imesimama
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mimi ni mfanya biashara mwenye chin ya miaka 25 kwa sasa biashara zangu zinaenda tu fresh ukizangatia na saiz wafanya biashara tumekuwa wachache sana sio kama zaman

Sasa bas kuna milion kumi na tano yangu iko bank nimeiweka yaan kila baada ya mda flan huwa naogeza milion moja au laki kadhaa bank lakin inategemea na biashara itakavyosimama kwa mwez au kwa week

Nina viwanja viwili kwa sasa sina nyumba wala gar nimepanga na mishe mishe zangu huwa napiga kwa kupanda gar

Sasa bas naomba ushaur wenu wadau je nijenge nyumba au ninunue gar ili nirahisishe mishe mishe yangu kwa town

Naomben ushaur naogopa kunuua gar wakat nimepanga nahis ndugu wataniona rofa lakin mimi mwenyewe ni sharo kinoma kamoyo kangu kanataka gar


Nawasilisha


LONDON BABY
hivi nyimbo yako na managemnt yako ya hamisa mobeto washa kusimamia
 
nunua gar iliyo nafuu ikurahisishie kaz zako na inayobak anza kujenga mdogo mdogo nanunasema kua kila baada ya mda hua unaongeza hizo hizo zitamaliza nyumba na mbaadh ya material madogo utabebea katika gar lako na kwendea site kwako kukagua ujen z utakua ni rahis
Asante sana mkuu
 
Nunua gari isiozidi 7m inayobaki anza kujenga. Kama ulivyosema biashara inaenda vizuri kila mwisho wa mwezi tenga kiasi fulani nenda site kaendeleze.
Ukifuata ushauri huu mwisho wa siku utakuwa na gari,nyumba na biashara inaendelea.
Asante sana nilitaka nivute kitu BMW kama ile ya kwako
 
Back
Top Bottom