Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

Boss jipime tu wewe mwenyewe then amua kipi mhim, maana gari ni mhim sana kama itatumika kukurahisishia biashara, ila kama biashara inaenda vizuri bila gari bas anza kujenga nyumba ila pia nyumba hutafikia mbali ila itategemea ni nyumba ya ukubwa gan unaitaka.
Yaan mkuu nachanganyikiwa sana aisee sijui nijenge sijui nivute kitu verossa
 
Kesho mtoa post ataandika amemaliza chuo anatafuta kazi!vijana wa humu Jf aisee!
Hawa vijana wa chuo kila story wanayo wao, mara utasikia TRA wamenifirisi mara utasikia sehemu gani nzuri ya kupaki gari nataka nende Ulaya, mara utasikia wapi nitapata bati za kuezekea mara naweza kwenda jela na dawa ya mbu, mara trafiki kanikamata kwa kutumia torch ya nyumbani.
 
Ushasema mishe zako unahitaji gari........

Bado hujui cha kufanya....

Unaishi maisha yako wewe kama wewe au unaishi-a ndugu zako???
 
Sikukatishi tamaa ,,bila kujali utafanya kipi Kati ya kujenga nyumba au kununua gari hutakuja kufilisika kabla ya 2022,,hauna akili ya biashara.
Sina akili ya biashara? Why
 
Hawa vijana wa chuo kila story wanayo wao, mara utasikia TRA wamenifirisi mara utasikia sehemu gani nzuri ya kupaki gari nataka nende Ulaya, mara utasikia wapi nitapata bati za kuezekea mara naweza kwenda jela na dawa ya mbu, mara trafiki kanikamata kwa kutumia torch ya nyumbani.
Hahahahaaaa ww jamaa ni Genius. Nimecheka balaa
 
Kweli unahitaji msaada wa kimawazo. Utanunuaje gari huna mahali pa kuipaki?? Mwenye nyumba ukamwombe ujenge gereji ya kulaza gari au ukailaze ofisi ya ccm mtaa wa 4 kutoka nyumbani!! Yataka moyo.
Ushauri;
Jenga nyumba kwanza, weka frem nzuri mbili au tatu. Wapo watakao pangisha ka unavyo pangisha na nyingine tumia wewe. Mola akijalia, weka na sehemu ya gereji kwenye jengo lako. Utakuja ingiza gari siku moja kwako sio kwa mtu.
Siyo lazima maisha kuyaendesha with the same as they did during the age if adam n eve!! Sometime just go anticlockwise and things will sound better.As of me so far, let him start with anything he desires whether a house or a town baby walker from Japan
 
nunuaa gar mkuu tena nunua noah kabsaa achana na kujenga utafilisi biashra zako nahautamalza hlo pagala la nyumba.....utataman kuhamia haitawezekn ,utatama kuuza roho itakuuma ,utaikumbuka hyo hela kama utajenga!! Gar n kama simu skuiz ina simplfy sana shughul za hapa na pale 0
 
Back
Top Bottom