Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 24,812
- 44,607
- Thread starter
- #41
Ahahaaa noma sana mzaziHawa vijana wa chuo kila story wanayo wao, mara utasikia TRA wamenifirisi mara utasikia sehemu gani nzuri ya kupaki gari nataka nende Ulaya, mara utasikia wapi nitapata bati za kuezekea mara naweza kwenda jela na dawa ya mbu, mara trafiki kanikamata kwa kutumia torch ya nyumbani.