Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

Msaada wa kimawazo: Nijenge au ninunue gari

Tenga hata 6,000,000 cheza BIKO ili ushinde 60,000,000/-
Au hata 100,000,000/-
 
Kama unaamini gari inamahusiano na utafutaji wako basi rahisisha kazi kwanza nyumba badae kama hali italuhusu
 
Mkuu nataka machine kubwa verossa au Mark x

If you are serious need our advise, just take three quarter of your money and go for second hand cars from japan such as toyota premio second generation, toyota run x or allex or any vehicle with the similar appearance and features, the remain amount keep on saving hoping that you will start construction in the coming year. but if you want show off as you seems to be, go for the vehicle that u have mentioned earlier because those vehicle are consuming more fuel that will affect your saving capacity. thanks
 
nunua gar iliyo nafuu ikurahisishie kaz zako na inayobak anza kujenga mdogo mdogo nanunasema kua kila baada ya mda hua unaongeza hizo hizo zitamaliza nyumba na mbaadh ya material madogo utabebea katika gar lako na kwendea site kwako kukagua ujen z utakua ni rahis
 
Aman iwe nanyi wapendwa

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mimi ni mfanya biashara mwenye chin ya miaka 25 kwa sasa biashara zangu zinaenda tu fresh ukizangatia na saiz wafanya biashara tumekuwa wachache sana sio kama zaman

Sasa bas kuna milion kumi na tano yangu iko bank nimeiweka yaan kila baada ya mda flan huwa naogeza milion moja au laki kadhaa bank lakin inategemea na biashara itakavyosimama kwa mwez au kwa week

Nina viwanja viwili kwa sasa sina nyumba wala gar nimepanga na mishe mishe zangu huwa napiga kwa kupanda gar

Sasa bas naomba ushaur wenu wadau je nijenge nyumba au ninunue gar ili nirahisishe mishe mishe yangu kwa town

Naomben ushaur naogopa kunuua gar wakat nimepanga nahis ndugu wataniona rofa lakin mimi mwenyewe ni sharo kinoma kamoyo kangu kanataka gar


Nawasilisha


LONDON BABY
Nunua gari isiozidi 7m inayobaki anza kujenga. Kama ulivyosema biashara inaenda vizuri kila mwisho wa mwezi tenga kiasi fulani nenda site kaendeleze.
Ukifuata ushauri huu mwisho wa siku utakuwa na gari,nyumba na biashara inaendelea.
 
Back
Top Bottom