Mnabuduhe
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 352
- 590
- Thread starter
- #21
Noted The Jackal!Mimi roho ya kusamehe niliiacha mwaka 2012 (nilikua sijawah huru kiuchumi. Ivo ikawa inanilazimu kua Mpole)
Siku hizi roho yangu ni ya visasi tu .. Ukinifanyia ufedhuli, kama unahitaj nikulipue hapo hapo, nakulipua, kama unahitaj twende kichwa kichwa tunaenda
Kikubwa Nilichofanya, Ni kutokuchukulia kwa uzito , Yaan Unanifanyia ubaya. Nachukulia poa, lkn ukae ukitambua dawa yako ipo jikoni inakwiva na utainywa tu.
Haya maisha yamenipa Amani sana!
Kwa jambo kama lako, kwa sheria yangu, mimi sio mtu sahihi wa kukushauri hapa.