Champion_Boy
Member
- Jul 13, 2018
- 40
- 111
Hivi karibuni nimepata wazo la kufanya Biashara ya Internet ISP akiwa TTCL kwenye maeneo ya Sokoni au Center zenye watu wengi kwa kuweka WiFi mteja atalipia kwa njia ya Vocha (number maalumu) mfano kwa Masaa 12 kwa Sh 1000 au 500 kwa masaa 6 n.k
Hivyo ni hatua gani za Kufata kwa kuanzia na eneo moja Kwa kupata vibari
Hivyo ni hatua gani za Kufata kwa kuanzia na eneo moja Kwa kupata vibari