Msaada wa hatua za kufuata ili kufanya Biashara ya Internet

Msaada wa hatua za kufuata ili kufanya Biashara ya Internet

Champion_Boy

Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
40
Reaction score
111
Hivi karibuni nimepata wazo la kufanya Biashara ya Internet ISP akiwa TTCL kwenye maeneo ya Sokoni au Center zenye watu wengi kwa kuweka WiFi mteja atalipia kwa njia ya Vocha (number maalumu) mfano kwa Masaa 12 kwa Sh 1000 au 500 kwa masaa 6 n.k

Hivyo ni hatua gani za Kufata kwa kuanzia na eneo moja Kwa kupata vibari
 
Kupanga ni kuchagua amua uendelee kununua Gb1 kwa 2100 au uje huku kwetu ni 1000 tu

‼️Bei zimeshuka pata‼️
HALOTEL MWEZI
Gb5 kwa 5,000
Gb6 kwa 6000
Gb8 kwa 8,000
Gb10 kwa 9,000
Gb11 kwa 10,000
Gb18 kwa 15,000
Gb25 kwa 20000
Na Kuendelea
0618370992
 
Halafu ndio wanakuja kutuzimia mitandao, sijui tukale wapi?
 
Back
Top Bottom