Msaada wa connection field ya Social Sciences

Msaada wa connection field ya Social Sciences

Yupo jack, haruna. Muronda kaend kuchkua phd ujerman
sisi ntulifundshwa na madam ANGEL DILIP muhindi hivi tulipofika mwaka wa3 akaacha kbs kufundsha akaendelea na mishe zake nyngne
 
ukiwa COSS kila kitu kupambana km unaomba Ajira vile ila wengine wanapangiwa km wale wa BAED, Archeology na Heritage management
Lol!! Hapo umemnfunguaaaaa. Ngoj nkapambane taasisi moja matata sanaaaa mikocheni nkimaliza waone na kaumuhim kidogooo
 
Swali hili ndo linasababisha medical anthropologist ngum kupata kaz. Watu wengi hawana uelew wa hii discipline. Hivyo vitu vinaenda sambamb yani ndio hiyo inautwa 'public health'
Ni kwa vipi social-cultural life inaathiri afya ya mtu!!? Na huyu mtu anaelew nini kuhus ugonjwa anaoumwa!!?
Dokta anajua dalili na kupima na kumpa daw mgonjwa Tu, mgonjwa anawez kuwa na mtazamo tofaut ingaw yupo zahanati kapimwa. Discipline hii hutumika kujua sabb z magonjw y mlipuko kukaa mda mref baadhi y maeneo na mda mfup maeneo mengine!. Shortly hat ugonjwa mpya kutafitiw chanzo,sabb na dalili zake wanafanya hiyo kaz hao watu
yaani kwa kozi kama hii nchi kama hii sijui hata kama magufuli anaitambua ila ni discipline nzuri tatizo lipo kwenye uelewa wa waajiri
 
Back
Top Bottom