Wanafunzi wa Social Protection wamlilia Rais Samia kutatua kero yao ya Tume ya Ajira

Mr.Black

Member
Jun 9, 2014
95
73
Tunaomba Msaada Rais Samia Utusadie wahitimu wa Social Protection kupata fursa za Ajira serikalin

Kwanza nianze Kwa kupongeza utendaji kazi wako Mh Rais umekuwa mwanga na Tumaini la wengi ikiwemo sisi wanafunzi wa vyuo vikuu umekuwa na jitihada za kutoa Fursa za Ajira Kwa vijana ila kwa wasomi wa Social Protection imekuwa ni changamoto kwao ya miaka mingi na kujikuta wamemaliza vyuo na inapotokea fursa za Ajira zenye vigezo vya Taaluma Yao.

Bado Mfumo wa Ajira Utumishi unagoma na kuonesha hawana vigezo ilihali wakati wanakuwa na vigezo (mfano mdogo ni ajira za muda mfupi za WCF ambazo wiki hii ndiyo mwisho wa kutuma maombi ya kazi deadline Yao ni 19/2/2023 Tunaomba warekebishe hii haraka wahusika wapate nafasi ila mfumo wa Ajira ya utumishi unagoma kuruhusu maombi ya Compliance officer ambayo hii ndiyo field yake mtu wa social protection ni sawa na kusema mhasibu afu asiweze kupewa nafasi ya kuomba account)

Wahitimu Kwa nyakati tofauti wamehangaika Sana Kwa kushirikiana wakati mwingine na chuo husika ifm baada ya kuona wanafunz wanakosa fursa za Ajira za serikali lakin imeonekana scheme of service inayotambulika na utumishi na pia mifuko yote wanatambua social security ambayo hii IFM WALIA ha kufundisha miaka mingi na Sasa wanafundisha social protection. Kwahiyo ombi letu ni kuona scheme of service inabadilishwa ili vijana wako ambao Kwa miaka mingi wanataman kupata fursa hiz za Ajira wapate hizo nafasi.

Kwa ufupi Sana naweza kuonesha baadhi ya sehemu ambazo wataalamu WA social protection wanaweza kusadia kufanya Kwa Taaluma Yao.

"A Social Protection Expert can work as:"

1. Social security administrator & Operator (Membership, Compliance, Benefit, Marketing etc)
2. Socioeconomic Policy analyst
3. Social welfare officer
4. Socioeconomic Project Coordinator
5. Socioeconomic Researcher etc.
6. Compensation & Benefits Specialist/ Total Rewards Specialist
n.k

"-Maeneo ya kazi ni pamoja na;"

1. Social Security Schemes (i.e. NSSF, NHIF, PSSSF, WCF, ZSSF, ZUPs etc)
2. Social Assistance Programme (i.e. TASAF, SATF etc)
3. LGAs (i.e. Social welfare desk, Community Dvt dept, etc.)
4. International Org' (i.e. ILO, UNICEF, UNDP, WHO, etc)
5. Halmashauri ( Mkoa or Wilaya zote zenye Social Welfare department "Maendeleo ya Jamii" )
6. Gvt Ministries (i.e. Wizara ya Ajira na Vijana, W/ Afya, jinsia, wazee na watoto n.k. ofisi za utumishi).
7. Private Companies zote zenye dept za HR + Pension Admin
8. Non Profit Orgs/NGOs (i.e. Project leader/coordinator, Relationship officers etc.)
9. Insurance Companies i.e BUMACO, Jubilee, GA, MO et
10. Some of Referral Hospital ( Zenye Insurance na Social Welfare department )
11. Any Public Office provide social services i.e Regional Immigration Office n.k
-AND MORE
 
Eti Socio-economic project coordinator/protector ha ha ha! Njooni bahari ya Hindi SEKTA ya uvuvi haimtupi mtu
 
Shida ya baadhi ya wahitimu hawajiongezi kutafuta soft skills zingine za kuwasaidia kupsta ajira kirahisi tunahitaji pia maono mbadala sio ajira tu iwe ndio lengo la kila muhitimu.
 
Hili nalo ni hadi Rais aingilie?
Hii nchi mbona Rais anatwikwa mafurushi ya mizigo namna hii?
 
Hili nalo ni hadi Rais aingilie?
Hii nchi mbona Rais anatwikwa mafurushi ya mizigo namna hii?
Watendaji wa Chini ya Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu baadhi yao ni mizigo mizito iliyokaa kula mishahara ya Serikali tu hakuna kazi wanayofanya sana sana ni kujinufaisha wao na vizazi vyao wengine wakishashtukialwa ndio uishia kuondolewa kwenye nafasi zao Ila wengine wanaroga sana kuwashtukia ni NGUMU.
 
Unajua hii Elimu yetu bhana yaan hapo mtu kamaliza shule badala ya kwenda hata kufungua saloon anyoe watu au asuke vichwa huko, ndiposa hayo masocial yote atayapata huko amekaa tu anasubir serikali

Sasa mamiradi ya serikali yapo kimkakati na yaendeshwa kabla hata ya hizo kozi kuanzia kufundishwa na vyuo walivyosomea

Kusoma ni sheria kujiariwa tena na serikali hayo ni majaaliwa kabisa
 
Kama wewe ni mtoto wa masikini hakikisha unasoma course za kawaida
Udaktari
Kilimo
Ualimu
 
Tunaomba Msaada Rais Samia Utusadie wahitimu wa Social Protection kupata fursa za Ajira serikalin

Kwanza nianze Kwa kupongeza utendaji kazi wako Mh Rais umekuwa mwanga na Tumaini la wengi ikiwemo sisi wanafunzi wa vyuo vikuu umekuwa na jitihada za kutoa Fursa ...
Kinachoonekana ni tatizo lililotokea kwenye utengenezaji wa Scheme of Service,Imeanisha uwepo wa Course ya Social security Administration lakini mtu aliyesoma Social Protection hawezi kuomba.

Mfumo wa Time ya ajira unafuata kile kilichoandikwa pekee , Kimsingi hakuna tofauti kati ya Social security Administration pamoja na Social Protection,inashangaza kuona social Protection haipo na Social security Administration ipo.

Kuna haja ya kufanya Marekebisho kuepusha vijana wengi kukosa nafasi hizo.

Itakuwa suala la ajabu Sana inatangazwa nafasi ya Afisa Matekelezo asiwepo mtu wa Hifadhi ya Jamii kuomba.

Serikali iingilie Kati kwenye hizi Schemes of service za Mifuko yetu ili kuleta ufanisi kwa kuchukua watu sahihi.
 
Shida ya baadhi ya wahitimu hawajiongezi kutafuta soft skills zingine za kuwasaidia kupsta ajira kirahisi tunahitaji pia maono mbadala sio ajira tu iwe ndio lengo la kila muhitimu.
Hakika. Wahitimu wanajua ku-list kazi za kuvaa Tai tu. Humsikii muhitimu akizungumzia kilimo au uvuvi
 
- Kifupi Bachelor of science in social protection ( Shahada ya Sayansi katika Uhifadhi Wa Jamii ): ni course inayo tolewa na Vyuo viwili Tanzania ECASSA institute of social protection Wakitoa elimu hii ngazi ya Astashahada na stashahada, na INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT wakitoa elimu hii ngazi ya Astashahada, stashahada, shahada na Shahada ya uzamili.

- Social Protection ( Hifazi ya Jamii ); kifupi ni course pekee Tanzania inayo toa Elimu ya mafao ( Pension ), Kutunga Sera Bora za Mifuko ya Jamii kama PSSSF, ZSSF, NSSF, na ZUPs ( Vikokotoo vyote vya mafoa vinafundishwa kwenye hii course) na imejikita kutoa elimu ya sera bora za-kuilinda jamii zidi ya majanga yanayo tokea kila siku, na yanaweza kutokea mfano vifo, ukosefu wa ajira, umasikini n.k.

- Wataalam wa Hii course Wanaitajika sana kwenye, kutunga sera bora za kuboresha maisha ya jamii, pia kwenye Social security schemes kama PSSSF, NSSF, ZSSF, ZUPs, WCF TASAF, pia kwenye INSURANCE COMPANIES, na NGOs + Taasisi zote za serikali na binafsi zinazo jiusisha na Jamii Mfano World vision, plan international, WHO, Twaweza n.k
-IPO HAJA KWENYE OFISI ZA SERIKALI NA KAMPUNI BINAFSI KUWA NA WATAALAMU WA HIFAZI YA JAMII ( SOCIAL PROTECTION DEPARTMENT)

- Ipo Haja Kwenye Ofisi za Serikali na Taasisi Binafsi kuwa na Wataalamu wa hifadhi ya Jamii ( Social Protection Department ) "Mfano kwenye Taasisi Binafsi zinazo chukuwa idadi kubwa za Wafanya kazi.. Wafanya kazi Wengi Wamekuwa wakilala-mika kucheleweshewa Mafao ya kama Fao la Uzazi, uwepo wa Wataalamu wa social protection itasolve hilo tatizo” Pia Serikali ianze kuajiri Wataalamu wa Uhifadhi wa Jamii kwenye Mifuko ya Jamii yote ili kuongeza ubora na ufanisi wa Huduma”

Thanks
I'm DOMINGO.
 
Tunaomba Msaada Rais Samia Utusadie wahitimu wa Social Protection kupata fursa za Ajira serikalin

Kwanza nianze Kwa kupongeza utendaji kazi wako Mh Rais umekuwa mwanga na Tumaini la wengi ikiwemo sisi wanafunzi wa vyuo vikuu umekuwa na jitihada za kutoa Fursa za Ajira Kwa vijana ila kwa wasomi wa Social Protection imekuwa ni changamoto kwao ya miaka mingi na kujikuta wamemaliza vyuo na inapotokea fursa za Ajira zenye vigezo vya Taaluma Yao.

Bado Mfumo wa Ajira Utumishi unagoma na kuonesha hawana vigezo ilihali wakati wanakuwa na vigezo (mfano mdogo ni ajira za muda mfupi za WCF ambazo wiki hii ndiyo mwisho wa kutuma maombi ya kazi deadline Yao ni 19/2/2023 Tunaomba warekebishe hii haraka wahusika wapate nafasi ila mfumo wa Ajira ya utumishi unagoma kuruhusu maombi ya Compliance officer ambayo hii ndiyo field yake mtu wa social protection ni sawa na kusema mhasibu afu asiweze kupewa nafasi ya kuomba account)

Wahitimu Kwa nyakati tofauti wamehangaika Sana Kwa kushirikiana wakati mwingine na chuo husika ifm baada ya kuona wanafunz wanakosa fursa za Ajira za serikali lakin imeonekana scheme of service inayotambulika na utumishi na pia mifuko yote wanatambua social security ambayo hii IFM WALIA ha kufundisha miaka mingi na Sasa wanafundisha social protection. Kwahiyo ombi letu ni kuona scheme of service inabadilishwa ili vijana wako ambao Kwa miaka mingi wanataman kupata fursa hiz za Ajira wapate hizo nafasi.

Kwa ufupi Sana naweza kuonesha baadhi ya sehemu ambazo wataalamu WA social protection wanaweza kusadia kufanya Kwa Taaluma Yao.

"A Social Protection Expert can work as:"

1. Social security administrator & Operator (Membership, Compliance, Benefit, Marketing etc)
2. Socioeconomic Policy analyst
3. Social welfare officer
4. Socioeconomic Project Coordinator
5. Socioeconomic Researcher etc.
6. Compensation & Benefits Specialist/ Total Rewards Specialist
n.k

"-Maeneo ya kazi ni pamoja na;"

1. Social Security Schemes (i.e. NSSF, NHIF, PSSSF, WCF, ZSSF, ZUPs etc)
2. Social Assistance Programme (i.e. TASAF, SATF etc)
3. LGAs (i.e. Social welfare desk, Community Dvt dept, etc.)
4. International Org' (i.e. ILO, UNICEF, UNDP, WHO, etc)
5. Halmashauri ( Mkoa or Wilaya zote zenye Social Welfare department "Maendeleo ya Jamii" )
6. Gvt Ministries (i.e. Wizara ya Ajira na Vijana, W/ Afya, jinsia, wazee na watoto n.k. ofisi za utumishi).
7. Private Companies zote zenye dept za HR + Pension Admin
8. Non Profit Orgs/NGOs (i.e. Project leader/coordinator, Relationship officers etc.)
9. Insurance Companies i.e BUMACO, Jubilee, GA, MO et
10. Some of Referral Hospital ( Zenye Insurance na Social Welfare department )
11. Any Public Office provide social services i.e Regional Immigration Office n.k
-AND MORE
Course ya kipumbavu Sana hiii
 
Back
Top Bottom