Msaada wa connection field ya Social Sciences

Msaada wa connection field ya Social Sciences

UDSM Alumni

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
2,555
Reaction score
1,389
WAKUU HABARI ZENU

Kutokana na tatizo la Ajira ofisi nyingi wanataka watu wenye experince angalau ya mwaka mmoja na mimi sina huzoefu wowote. Kwaiyo nawaomba member wote wa field ya SOCIAL SCIENCES mnisaidie kupata sehem ya kujitolea tu namimi nipate hujuzi angalau kidogo.

Nimesoma BA IN ANTHROPOLOGY naweza kufanya kazi katika mifuko ya hifadhi ya jamii ,taasisi za Research katika jamii na maeneo mengi yanayofanana na ayo.

Najua humu ndani siwez kosa watu wa; NHIF, PSSF, NIMR, MDH, TASAF, UNDP, UNICEF, UNHCR,SAVE THE CHILDREN nk.

Nawaomba connection ya ku-volunteer tu wakuu asanteni sana.
 
mkuu social science na medical wapi na wapi?
ndio ipo ivo mkuu mimi nimespecialize kwenye medical anthropology japo course inaitwa bachelor of arts in anthropology , college of social sciences derpartment of sociology and anthropology..........naombeni connection wakuu ya kuvolunteer tu
 
upande wa benefits na social securities laws na pia vision au tally account huko nondo?
 
mkuu social science na medical wapi na wapi?
Swali hili ndo linasababisha medical anthropologist ngum kupata kaz. Watu wengi hawana uelew wa hii discipline. Hivyo vitu vinaenda sambamb yani ndio hiyo inautwa 'public health'
Ni kwa vipi social-cultural life inaathiri afya ya mtu!!? Na huyu mtu anaelew nini kuhus ugonjwa anaoumwa!!?
Dokta anajua dalili na kupima na kumpa daw mgonjwa Tu, mgonjwa anawez kuwa na mtazamo tofaut ingaw yupo zahanati kapimwa. Discipline hii hutumika kujua sabb z magonjw y mlipuko kukaa mda mref baadhi y maeneo na mda mfup maeneo mengine!. Shortly hat ugonjwa mpya kutafitiw chanzo,sabb na dalili zake wanafanya hiyo kaz hao watu
 
Swali hili ndo linasababisha medical anthropologist ngum kupata kaz. Watu wengi hawana uelew wa hii discipline. Hivyo vitu vinaenda sambamb yani ndio hiyo inautwa 'public health'
Ni kwa vipi social-cultural life inaathiri afya ya mtu!!? Na huyu mtu anaelew nini kuhus ugonjwa anaoumwa!!?
Dokta anajua dalili na kupima na kumpa daw mgonjwa Tu, mgonjwa anawez kuwa na mtazamo tofaut ingaw yupo zahanati kapimwa. Discipline hii hutumika kujua sabb z magonjw y mlipuko kukaa mda mref baadhi y maeneo na mda mfup maeneo mengine!. Shortly hat ugonjwa mpya kutafitiw chanzo,sabb na dalili zake wanafanya hiyo kaz hao watu
we upo chuo gani mkuu
 
Back
Top Bottom