Msaada vitabu vya PCB

dr chris

Member
Sep 23, 2011
76
12
ndugu zangu nipo kwa mala nyngne kwenye jukwaa hili nikiomba kwa yeyote anaejua majina ya vitabu vya masomo ya phy.chem.na bios kwa sylbc.mpya ikiwezekana na wastani wa bei zake.nitashukuru kwa ushiriki wako. nawasilisha
 
ndugu zangu nipo kwa mala nyngne kwenye jukwaa hili nikiomba kwa yeyote anaejua majina ya vitabu vya masomo ya phy.chem.na bios kwa sylbc.mpya ikiwezekana na wastani wa bei zake.nitashukuru kwa ushiriki wako. nawasilisha

O- level au A- level?
 
Ndo umeanza kujiita docta mapema hvo?subiri kwanza kuliwa kichwa na mama ndalichako.
 
ndugu zangu nipo kwa mala nyngne kwenye jukwaa hili nikiomba kwa yeyote anaejua majina ya vitabu vya masomo ya phy.chem.na bios kwa sylbc.mpya ikiwezekana na wastani wa bei zake.nitashukuru kwa ushiriki wako. nawasilisha

Nisikize mimi nimesoma A-levo na nimepiga tatu,haya tafuta hivi

1.Physics:::UP,Tom Duncan
2.Chemistry:::::Ramsden
3.Biology::Understanding Biology(Bonge la kitabu jekundu)
 
A-level mkuu.


{Physics}
CHAND ya V na VI.@ 35,000 kwa mikoani kwa Dar ni Bei nafuu kidogo

NELKON @25,000 mpaka 30,000

ROGER @ 75,000

CALCULATION FOR PHYSICS, Hii bei yake siijui ila kaulizie madukani.

{CHEMISTRY}
CHAND ya V na VI @ 35,000,kwa Dar inaweza kuwa chini kidogo

RAMSDEN @25,000

{BIOLOGY}
Hapa kuna vitabu vingi sana ila Taifa linasuggest Utumie BIOLOGICAL SCIENCE{B.S}

Karibu udoktani.
 
sivyo mi ni mzazi c mwanafunz hizo zana vitabu ni maandaliz ya mwanangu anaetarajia ku join v hivyo ndal chk hana pa kunikuta.
 
nashukuru nitavifuatilia ili mwanangu acje kusema nimemharibia mambo naamini nitapata
 
Watafute Mture Publishers, wanahusika sana na hivyo vitabu pia.

Wapo Mwenge mwisho jirani na kambi ya Ujenzi. Au tumia google
 
Nisikize mimi nimesoma A-levo na nimepiga tatu,haya tafuta hivi

1.Physics:::UP,Tom Duncan
2.Chemistry:::::Ramsden
3.Biology::Understanding Biology(Bonge la kitabu jekundu)

UP hapana dogo atabadili combination mapema
chemistry inorganic chemi kuna kitabu kina rangi ya pink ni cha tz kina part 1 & 2, organic chemi may be mzumbe
bios jina kidogo limetoka lkn ni huo mkitabu una red color a.k.a mkate

tuition ya bios mwalimu mzuri ni makumaku a.k.a kyobya nadhani bado yupo makongo

ANGALIZO: kusoma masomo ya science tz ni cheza pata potea na zaidi kwa somo la bios na chemi coz tz hakuna books of references! utakuta swali moja limejibiwa kwenye vitabu 4 na vitabu vyote vimetoa majibu 4 tofauti, hapa ndio bahati ya mtu inapoonekana kama jibu lako limematch na la marking scheme then umepata marks vinginevyo inakuwa imekula kwako.
kwa mitihani ya darasani ni rahisi kufaulu coz utajua tu mwl anatumia kitabu gani lkn necta uwezi jua ila mara nyingi hivyo vitabu nilivyovitaja ndio huwa vinatumika (tumia hivyo) ili kufaulu
 
nashukuru nitavifuatilia ili mwanangu acje kusema nimemharibia mambo naamini nitapata

Huwezi kupata UP (UNIVERSITY PHYSICS) mpya Dukani, hicho kitabu ni nuksi, kama ndo anaanza asikione sasahivi labda akiwa form six, kidogo atakuwa ameshaizoea shule la sivyo ataacha kuipenda hiyo combination.

Nakumbuka tulikuwa tunafundishwa na mzungu mmarekane, alikuwa anashuka balaa lakini li kitabu hilo lilikuwa linampa shida.

Kama uko Dodoma nenda pele opposite na benki ya NMB kuna duka lina kila aina ya kitabu cha A level tena current books.
 
{Physics}
CHAND ya V na VI.@ 35,000 kwa mikoani kwa Dar ni Bei nafuu kidogo

NELKON @25,000 mpaka 30,000

ROGER @ 75,000

CALCULATION FOR PHYSICS, Hii bei yake siijui ila kaulizie madukani.

{CHEMISTRY}
CHAND ya V na VI @ 35,000,kwa Dar inaweza kuwa chini kidogo

RAMSDEN @25,000

{BIOLOGY}
Hapa kuna vitabu vingi sana ila Taifa linasuggest Utumie BIOLOGICAL SCIENCE{B.S}

Karibu udoktani.

Mkuu namshauri biology na chemistry anunue Chand class XI na XII, natumia hizo zina-match na syllubus mpya 100%
 
Nisikize mimi nimesoma A-levo na nimepiga tatu,haya tafuta hivi

1.Physics:::UP,Tom Duncan
2.Chemistry:::::Ramsden
3.Biology::Understanding Biology(Bonge la kitabu jekundu)

umepga 3 division au pts,maana wenye pts 3 huwa hawajisifii ovyo kama wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom