Habari zenu wapendwa! Nauliza wapi nitaweza pata Genuine USB TV Tuner kwa Arusha au Dar? Na zinauzwa kwa bei gani kwa pesa za kitanzania? Naomba kuwasilisha!
Habari zenu wapendwa! Nauliza wapi nitaweza pata Genuine USB TV Tuner kwa Arusha au Dar? Na zinauzwa kwa bei gani kwa pesa za kitanzania? Naomba kuwasilisha!
Wasiliana na Axis Computer, Wapo Kariakoo, pia wana tawi pale Posta
Simu 0715 545 3001.
Niliwahi kufanya manunuzi kwao, by then price ilikuwa 40,000/= Tshs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.