Biashara ya mifuko (viroba)

Winga dalali

Senior Member
Jul 20, 2021
192
263
Habari, zenu wanajukwaa poleni na majukumu pia kheri ya kuvuka mwaka.
Wanajukwaa nauliza sehemu ya kupata mifuko ya 25kg ile ya unga mfano wa azam, azania. Pia natafuta mifuko ya gunia nzito kwa jumla kwa Dar es Salaam.

Anayejua chimbo au bei anijuze. Plz mwenye kujua aandike na bei.
 
Nenda mitaa ya karibu na soko la Kariakoo wanalojenga hiyo ndio mitaa ya mifuko,
Kama unataka ile ya azam basi nenda pale ofisini kwao Tazara.
 
Habari, zenu wanajukwaa poleni na majukumu pia kheri ya kuvuka mwaka.
Wanajukwaa nauliza sehemu ya kupata mifuko ya 25kg ile ya unga mfano wa azam, azania. Pia natafuta mifuko ya gunia nzito kwa jumla kwa Dar es Salaam.

Anayejua chimbo au bei anijuze. Plz mwenye kujua aandike na bei.
Habari, zenu wanajukwaa poleni na majukumu pia kheri ya kuvuka mwaka.
Wanajukwaa nauliza sehemu ya kupata mifuko ya 25kg ile ya unga mfano wa azam, azania. Pia natafuta mifuko ya gunia nzito kwa jumla kwa Dar es Salaam.

Anayejua chimbo au bei anijuze. Plz mwenye kujua aandike na bei.

Umepata tenda ya biashara mgodini mkuu?
 
Back
Top Bottom