Habari wana Jf.
Kwa mwenye kujua, ninaomba anifafanulie namna benki zinazoendeshwa kwa kufuata misingi ya kiislamu (Islamic Banking) zinavyoendeshwa.
Zaidi ni jinsi gani mikopo hutolewa na namna gani mikopo hiyo hurudishwa.
Ningekuwa karibu, ningeweza kutembelea matawi yao kupata ufafanuzi, lakini nipo huku Kyerwa mkoani Kagera. Na nilipopitia ktk website za mabenki hayo, ufafanuzi walioutoa sikuupata vema.
Nitashukuru kama pia nitapata msaada wa mchango kutoka kwa watu waliowahi kukopa katika mabenki yanayoendeshwa kwa taratibu za Kiislamu hapa nchini.
Nawasilisha.
Nakutakieni Baraka za mwezi mtukufu wa Ramadhan ziwe juu yenu.
Kwa mwenye kujua, ninaomba anifafanulie namna benki zinazoendeshwa kwa kufuata misingi ya kiislamu (Islamic Banking) zinavyoendeshwa.
Zaidi ni jinsi gani mikopo hutolewa na namna gani mikopo hiyo hurudishwa.
Ningekuwa karibu, ningeweza kutembelea matawi yao kupata ufafanuzi, lakini nipo huku Kyerwa mkoani Kagera. Na nilipopitia ktk website za mabenki hayo, ufafanuzi walioutoa sikuupata vema.
Nitashukuru kama pia nitapata msaada wa mchango kutoka kwa watu waliowahi kukopa katika mabenki yanayoendeshwa kwa taratibu za Kiislamu hapa nchini.
Nawasilisha.
Nakutakieni Baraka za mwezi mtukufu wa Ramadhan ziwe juu yenu.