thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 204
Unataka kubisha?? Mna lipi jipya??? Mnaishia kusolve past paper mfaulu wenzenu wanafanya vitu vinavyoeleweka kimataifabila shaka ww ni kilazer wa teku o udom!
Unataka kubisha?? Mna lipi jipya??? Mnaishia kusolve past paper mfaulu wenzenu wanafanya vitu vinavyoeleweka kimataifabila shaka ww ni kilazer wa teku o udom!
MUK ni chuo kingine level nyingine huwezi kucompare na UDSM,Wapi Wazee WA chikumi chikumi, Muk Nadhani ni still the best Unii hapa East Afrika. Kule watu hawakariri papers, Halafu huwa nashangaa sana wabongo tunaposema elimu yetu kubwa kuliko Uganda na Kenya!?? 3 Sijui huwa inatumika kigezo gani hapa [emoji84]