Relax, na ujipange kujiunga na chuo wakati huku unasubiria kuwa approved by TCU mkuuNaomba ufanunuzi jamani kwa hii issue ya missmatch of names.
nahitaji kujua kama-:
1. Umechaguliwa na chuo ila TCU awaja approve.
2. Je ukienda kudhibitisha taarifa utaruhusiwa kuendelea na course waliyokuchagua au mpaka uombe tena.
Angalia we, chukua cheti cha f4 na lihakikishe jina lako lilivyoandikwa then lisahihishe chuoniitawezekanaje mkuu na huku T.C.U wanasema jina mismatch.
Thanks sana mkuu, vp inatakiwa tufanyeje hapo? Ama sijaelewa pia yani names gan zipo mismatch? Katika vyeti au wap?course aliyo chagiliwa ni B.of education in guidance and counseling
Poapoa mkuu thanks.hapo midle name inabidi iendane na cheti.
iwe initial isiwe full