MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Naombeni msaada tafadhali.
Nimenunua eneo la shamba la ekari 4 ambalo nahitaji kulipanda miti ya mbao lote. Naomba kufahamishwa hatua za kuandika proposal kwa aina hii ya mradi na nielekezwe mashirika ambayo naweza kuipeleka ili niwezeshwe kufanikisha huo mradi.Natarajia kufanya shughuli hiyo kuanzia mwezi Nov mwaka huu ili kuwahi mvua za mwakani.
Nitawashukuru sana wana JF ambao watanisaidia kwa ushauri na kunipa changamoto za mradi huo.
Wasalaam!
Nimenunua eneo la shamba la ekari 4 ambalo nahitaji kulipanda miti ya mbao lote. Naomba kufahamishwa hatua za kuandika proposal kwa aina hii ya mradi na nielekezwe mashirika ambayo naweza kuipeleka ili niwezeshwe kufanikisha huo mradi.Natarajia kufanya shughuli hiyo kuanzia mwezi Nov mwaka huu ili kuwahi mvua za mwakani.
Nitawashukuru sana wana JF ambao watanisaidia kwa ushauri na kunipa changamoto za mradi huo.
Wasalaam!