DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,460
- 99,106
Jamaa Kashindwa Timing.Mkuu, hakuna mtu anataka watu wasumbufu kazini kwake. Na kumchinja kobe yahitaji timing ndio maana kasubiri mkataba umeisha na hajakuongezea.
Hakuna sheria kavunja hapo.
Ukishaingia mgogoro na boss wako, Jiandae kisaikolojia Maisha bila kazi yake
Sent using Jamii Forums mobile app