The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,329
Salary mara mbili mnapewa kwa mapenzi ya bosi mfurahie sikukuu siyo lazimaHahaha hapana kaka,
Mfano Mimi nipo kampuni binafsi na mikataba yetu ni mwaka mmoja mmoja , ila kila December tunalipwa salary mara mbili na wanaita Termination
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhii yaani wewe aliyekuajiri ni serikali au mtu binafsi. Mkataba ukiisha huwexi mlazimisha tajiri akuajiri tena mapenzi yake . sijui wewe unataka sheria ipiKwahiyo hata zile order za serikali hazina nguvu yoyote??
Within a minuteKUAJIRIWA MUDA MWINGINE NI MAJANGA YAANI DAAH
Heri ya mwaka mpya wadau,!! Mimi na mwenzangu Tumepoteza kazi baada ya kudai haki na stahiki zetu zilizokuwa zinabinywa na mwajiri, baada ya kufatilia sheria zinasemaje katika misingi ya kisheria na mwajiri wetu kuamriwa kurekebisha.
Mwajiri hakufanya hivyo Bali akasubiri mwisho wa mkataba akatupa barua za kumalizika kwa mkataba.
Je, wajuzi wa sheria ni namna gani sheria zinatulinda kwa namna yoyote kupoteza kwetu kazi kwa kudai haki zetu? Naombeni msaada
KweliSalary mara mbili mnapewa kwa mapenzi ya bosi mfurahie sikukuu siyo lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
HILO SINA UBISHI NALO KABISA MKUU
Anataka haki zake ?Haki atapata kaka, Mimi nipo kampuni binafsi kuna kesi kama hizo nyingi tuu, watu wanapata haki....
Ila tuu kama amekaa mda mrefu kazini na hakuwahi kupata likizo hapa anayo point, ama anafanya kazi masaa mengi kuzidi yale yaliyoainishwa katika mkataba hapo point nyingine,
Yeye anaenda tuu pale wizara ya kazi na ajira si lazima aajiri wakili maana atasimamiwa na wakili wa serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, ila baadae mambo yanarekebishwa, jamaa kajitoa kwa ajili ya wengineHata Shule za sekondari tu mkigoma kwa mambo ya Msingi na yenye kueleweka lazima mtafukuzwa wale vinara ama myahamishwa shule. Uongo?
Ni vigumu kujastifai mbele ya vyombo vya sheria kwamba umenyimwa mkataba mpya kwa sababu kama hiyo.Kudai haki yako hakumzuii mwajiri kutokukuongezea mkataba, unapodai haki yako unatakiwa uwe makini sana hasa kama hauna mkataba wa kudumu maana kama una mkataba wa mda mfupi hayo ndio majanga yake
Sent using Jamii Forums mobile app