Wabongo hawaelewi iPhone ndo simu kwa sasa we unatumia iPhone ganiNunueni iPhone jamani.
Wabongo hawaelewi iPhone ndo simu kwa sasa we unatumia iPhone gani
umeeleweka!Ila ni ushauri tu ndugu, unawezabukapata gharama kubwa sana kuitengeneza, ilihali hiyo pesa ungenunua simu nyingine, mimi nishanunua tecno, samsung, zote zikazingua, na nilipoteza pesa nyingi kutengeneza, yaani fundi akitengeneza leo, kesho tatizo jingine linaibuka,, tena simu ikishakuwa flashed inapoteza ufanisi iliyokuwa nao, so zipo simu nyingi nzuri tu town so better ununue simu mpya dukani kuliko kutengeneza...
Kama upo dar niPM, nitakupa msaada na haitorudia tena. Kwa tatzo hilo sio kwa tecno tu, okiondoa iphone zilizobaki sometime zinakumbwa na hilo tatzonaomba mwenye kujua anisaidie kuna simu ya tecno h5 ina tatzo ukizima data inajiuga kisha inaanza kudownload vitu vya ajabuajabu,betri nayo inachemka na kuisha haraka sana,ASANTENI
Hebu nipm nkupe msaadanikiflash sasa si na imei namba zitabadirika na pengine ikawa nje ya viwango vya tcra
kurestore hakutatui tatzo hiliFanya kuireset au restore simu, ishu ya betri kuchemka cjui nn tatzo, maybe unaitumia cm ikiwa kny chaji, au cm ina apps nyingi sana kuliko uwezo wake or other reasons..
bila zhaka ulishikwa na wazimu laki 5+ ukanunue tekno????Juzi nimenunua Tecno phantom 6 kimeo hizi sim.
Tecno wamechoka
huawwi wanaxo simi nzuri na kanyangaSimu kwasasa ni Samsung na iPhone izi tecno Huawei ni madudu
Asante sana mtaalamhio ni loop ya simu zote za mediatek, malware anajipa root access na kujibadilisha kuwa kama system files, hivyo ku hard reset hakusaidiii sababu hard reset haigusi system files inafuta tu vitu ulivyovieka.
hapo kuna njia 3 kuwatoa
1. flash simu kwa kueka rom mpya
2. tafuta fundi mwenye box atumie ant virus zake watatoka (nimewahi watoa na miracle box cracked)
3. njia ya tatu na ngumu zaidi ni kuwatoa mwenyewe mmoja mmoja
nilichogundua ni kwamba kunakuwa na kirusi mama kinajificha halafu hiki kirusi ndio kinaweka hizo app za ajabu ajabu, ndio maana ukifuta hizo app zinajirudisha sababu hujamgusa kirusi mama anaeleta wengine.
kama unataka kujua zaidi na kuwatoa mwenyewe anza na kwenda setting halafu security halafu device administrator then toa makoro koro yote acha tu device manager
nenda setting halafu apps kagua apps zote toa usizozijua zitoe, ni vyema pia uwe na root utoe system apps usizozijua.
huwa kirusi kina kawaida ya kujibadili sawa na jina maarufu mfano kinaweza kujiita gogle, googlee, gugle, operra etc kinakuchanganya ujue kama ni app maarufu kumbe ni kirusi.
pia kama unamtoa manual kuwa makini ukifuta kimakosa system files unaweza uka corrupt simu na haitafanya kazi hadi uflash