Msaada: Tecno hii ina tatizo gani?

Msaada: Tecno hii ina tatizo gani?

Kuflash sim kwa STOCK ROM sahihi kunamaliza kabisa hili tatizo. Simu inakua mpyaaaaaa, nimefanya mara kadhaa na wahusika had leo wanafurahia. Muhimu utumie stockfom iliyo sahihi
nashukuru
 
naomba mwenye kujua anisaidie kuna simu ya tecno h5 ina tatzo ukizima data inajiuga kisha inaanza kudownload vitu vya ajabuajabu,betri nayo inachemka na kuisha haraka sana,ASANTENI
Flashing will solve that problem 100% (tumia scatter file imei zitabaki zilezile)
 
Back
Top Bottom