Natumia Redmi note 10 pro View attachment 2860848Niko na redmi hapa, toka nmenunua mpaka leo kwenye charge sijawahi hata kuhisi ubora umepungua,
Katika simu kwa upande wa redmi mzee chukua note 10 pro
Umeinunua iko hivyo au hivi karibuni uli update software?Jamani wajuvi wa jukwaa hili nina simu aina ya Redmi note 10 pro,Tatizo lake inawahi kuisha chaji haraka Na. Kwenye screen inaonyesha kama cheche kwa mbali alafu inapata joto......Mwenye kuelewa hili tatizo naomba anisaidie jinsi ya kulitatua