Msaada tafadhali!!

Msaada tafadhali!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,607
Reaction score
28,627
Habari zenu wakuu hapa Jamvini,.

Kwa wale mafundi au wataalam wa ujenzi(fundi mwashi) naomba msaada wako, ninategemea kujenga nyumba yangu ndogo ya kawaida kabisa yenye vyumba vitatu na sebule jumla vikiwa vinne, sasa ningeomba kujua gharama za ujenzi huu wa kusimamisha jengo tu bila kupaua bati au kufanya finishing!!!

Mods naombeni msiuhamishe huu uzi wangu ila niweze kupata ushauri kutoka kwa wadau!!
 
pita kwenye business forums kule kuna wadau wa ujenzi kama laki 4 hivi watakupa suluhisho koz wana uzi wamediskass kwa kina habari hii
 
Back
Top Bottom