zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 401
- 469
Pale US anapofanikiwa kuifanya nchi yake kuwa pepo ya dunia....., ckupingi bro nawaza tu...
Nashukuru sana kiongozi kwa muongozo wako ubarikiwe sana.
Na oktoba 4 window inafunguka tena je ni kwa 2019?
Ungepita bila kuchangia kama hakukutaja. Huezi jua kawataja hao labda kagundua wana uelewa katika ishu za Green CardKweli mkuu. Hata mie nilitaka nimpe ushauri unaofaa nikasita kidogo baada ya kuona ameshajichauglia watu wa kumjibu... Ngoja hao watu wake waje hapa kumfaa...
Acha zako. Umeulizwa kama unafanya kazi ubalozini? Au kiherehere tu? Kama huhitaji kusaidia kisa hujatajwa si upite kushoto tuSie tunaofanyia ubalozi tulitaka kukujibu,but coz kuna majina umeyapa kipaumbele ngoja waje kukujibu hayo maswali yako...
Najaribu kuwaza Tanzania tungekuwa na ishu ya namna hii hivi watu wangekuwa wangapi mkuu?Pale US anapofanikiwa kuifanya nchi yake kuwa pepo ya dunia....., ckupingi bro nawaza tu...
Ningepita bila kuchangia asingejua kwa nini sichangii mada yake na kumpa suluhu...Ungepita bila kuchangia kama hakukutaja. Huezi jua kawataja hao labda kagundua wana uelewa katika ishu za Green Card
Katika hayo yote uliotaja jibu ni moja tu ni kwamba hukubahatika kuchaguliwa, cha msingi kama ulipata confirmation no wakati ulipoomba ktk maombi ya mwanzo basi tayari ulikuwa na vigezo vya kuchaguliwa, lakini kwakuwa hii ni kama mchezo Wa bahati nasibu basi hukushinda bahati hiyo, Jaribu tena mwaka huu nazani kuanzia mwezi October.Wadau nisaidieni kitu. Nami niliomba hii kitu lkn majibu hayakuwa poa. Sasa kuna vitu kama vitatu navihisi kuwa vilisababisha mimi kukosa. Kwanza ni kwamba sikuweka details za mwenza (ki ukweli sina mwenza); pili sikuangalia majibu on time so nahisi hata kama ningepata ningekuwa nimecherewa; tatu ni kuhusu kwamba ni bahati nasibu kwa hyo sikubahatika tu. Je mnasemaje kuhusu hizo hisia zangu? Hasa hiyo ya kwanza na ya pili. Nataka next time nisifanye makosa.
Poa thanksKatika hayo yote uliotaja jibu ni moja tu ni kwamba hukubahatika kuchaguliwa, cha msingi kama ulipata confirmation no wakati ulipoomba ktk maombi ya mwanzo basi tayari ulikuwa na vigezo vya kuchaguliwa, lakini kwakuwa hii ni kama mchezo Wa bahati nasibu basi hukushinda bahati hiyo, Jaribu tena mwaka huu nazani kuanzia mwezi October.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana Dibaji..Habari ya jumapili Ndugu zangu, niende kwenye mada moja kwa moja. Mwaka Jana mwezi wa kumi na moja nilicheza US green card lottery na mwezi huu wa tano nimefanikiwa kupita katika mchujo wa kwanza unaofanywa na Kentucky Consular Center (KCC) niliingiza confirmation number katika website ya dvlottery.state.gov nikakuta barua kuwa nimefanikiwa kuchaguliwa, lakini ile barua inasema kwamba kuchaguliwa katika mchujo huu haimaanishi kuwa tayari nimepata visa hapana bado kuna hatua nyingine za kufuata ili kuwezesha kupata visa. Pia ile barua inasema kuwa kuna form inaitwa DS-260 Immigrant visa and Alien Registration Application, kwahiyo mpaka sasahivi bado sijaelewa hiyo form ninaipata wapi na baada ya hapo nini kitafuata?, je, ni vitu gani vya kuzingatia ili niweze kushinda na kupata visa. Msaada wenu ndugu zangu ni wa muhimu sana.
Cc: BAK, Nyani ngabu, Mzizi mkavu, ogah, masanja na wengine ambao wanafahamu mambo haya naombeni mniambie. Mbarikiwe sana.
Kwa wale wanaotaka kushiriki mwaka huu vigezo ni kati ya hivi viwili...Hongera sana Dibaji..