Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

T

Tena watu kama nyinyi mnaochukuwa wanafunzi nikikukamata nakupiga roba ya mbao mpaka unye mavi ya kijani kwa sababu ya vyakula unavyo kula na pombe zenu kienyeji
Kwanza sinywi pombe,pili sijawahi toka na mwanafunzi,tatu huna uwezo wa kunipiga roba. Muhimu hapa unaonekana ni mtu flani unayeleta ligue na watu usiowajua
 
Usisahau mrejesho
Habarini wadau.

Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila naona muda wowote naenda kufukuzwa.

Kisa chenyewe.
Mwezi huu mwanzoni kuna binti wa kidato cha tatu alinifuata ofisini jioni na maswali kadhaa ya somo ninalofundisha. nikamuelekeza kwa muda baadae anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake pindi watakapomuuliza kwanini amechelewa kurudi home, nilikubali maana sikuona unayaendeleza wowote, usiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti nikachukuliwa kawaida tu na nilimjibu kawaida maana wife alianza kuchukia so nikaacha kuchat.

Ila yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia kupunguza mawazo,, alivyonipigia nadhani aligundua nimelewa akaanza kunichombeza ingawa sikuwa nimelewa sana ila nilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu.. Siku yako Pili asubuhi ndo nikakumbuka kama aliniambia vitu vya ajabu nikajilaumu sana na kabla sijatoka nyumbani kwenda kazini akatuma message yenye maneno ya mahaba sikumjibu.

Baada ya siku kadhaa nikajikuta nachat nae kuhusu mambo ya mahaba, ingawa sikupanga kuonana nae kwa namba yoyote.

MSAADA NINAOTAKA.

juzi usiku nilitumiwa message nyingi kwa namba ngeni nilivyojibu ndo akawa anasema baba ake ameona message amempiga haswa na anampango wa kuja shuleni kesho, wadau Msaada wenu muhimu je nifanyaje Wakuu na nijiteteaje?

Asanteni
 
Baba Moriniiiiiiii

acha nikwambie kitu kimoja cha muhimu sana
.
.
.
.
UTAKOMA NAKWAMBIA yani UTASHAAAA nakwambia HAMNA RANGI UTAACHA KUONA.

.
.
.
nimemaliza.
 
b
Habarini wadau.

Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila naona muda wowote naenda kufukuzwa.

Kisa chenyewe.
Mwezi huu mwanzoni kuna binti wa kidato cha tatu alinifuata ofisini jioni na maswali kadhaa ya somo ninalofundisha. nikamuelekeza kwa muda baadae anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake pindi watakapomuuliza kwanini amechelewa kurudi home, nilikubali maana sikuona unayaendeleza wowote, usiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti nikachukuliwa kawaida tu na nilimjibu kawaida maana wife alianza kuchukia so nikaacha kuchat.

Ila yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia kupunguza mawazo,, alivyonipigia nadhani aligundua nimelewa akaanza kunichombeza ingawa sikuwa nimelewa sana ila nilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu.. Siku yako Pili asubuhi ndo nikakumbuka kama aliniambia vitu vya ajabu nikajilaumu sana na kabla sijatoka nyumbani kwenda kazini akatuma message yenye maneno ya mahaba sikumjibu.

Baada ya siku kadhaa nikajikuta nachat nae kuhusu mambo ya mahaba, ingawa sikupanga kuonana nae kwa namba yoyote.

MSAADA NINAOTAKA.

juzi usiku nilitumiwa message nyingi kwa namba ngeni nilivyojibu ndo akawa anasema baba ake ameona message amempiga haswa na anampango wa kuja shuleni kesho, wadau Msaada wenu muhimu je nifanyaje Wakuu na nijiteteaje?

Asanteni
nisije kucoment nikakutukana bure ngoja ninyamaze
 
Nani atatusaidia watoto wetu, nyie walimu ndo tunaowaamini matokeo yake ndo haya sasa!

Kabla hujaanza kuchat na wanafunzi mfikirie!Moreen, ungependa nae apitie hayo unayompitisha huyo mwanafunzi?!
Kama sio, jiadhibu kabla hujaadhibiwa!!

Wazazi mmeona, tujitahidi sana kuwapa watoto wetu malezi yenye hofu ya Mungu jamani, tusisahau kuwaombea hawa watoto!
Moreen... ok!

Nimelipenda hili jina. Nitaliedit kidogo
 
Mkuu nina uhakika kuna mengine umetuficha yapo moyoni mwako kuhusu kesi hiyo, wewe kama mwalimu unapaswa kuweka mipaka kati yako na mwanafunzi na hii siyo kwa waalimu tu ila hata katika shughuli zozote na popote, kujitambua kuna kuwezesha wewe kujua thamani yako na jukumu lako hasa kisha kujijengea mazingira ya kulinda hadhi yako na hapa ndipo suala la heshima binafsi inapokuja kuingia.

Kiujumla tuna waalimu wachache sana katika jamii, na watafutaji wa maisha wengi sana wakitumia majina na vyeo tofautitofauti mfano wengine kwa kujiingiiza katika sector mbalimbali kama elimu na kwingineko.

Mwalimu ndiye tunayemtegemea kuwa mfano katika jamii na kuwa msaidizi wa wazazi katika malezi ila waalimu wachache na hao wachache kuwapata siyo rahisi, wengi ni waliingia tu kwenye fani hiyo bila kuwa na mpango nao.

Mkuu mtoa mada umezengua ila hili jambo huitaji kutafuta sababu ya kujitetea mbele za watu, hapana! Unahitaji kujithathmini wewe kama wewe N kukubali wewe kama wewe kuwa umekosea kufanya mawasiliano ya aina hiyo na mwanafunzi wako, ukikaa vizuri na kujitafakari kisha kujioji na kukiri kutorudia kitu kama hicho hata kesho huyo mzee akifika na mwanaye utakuwa na ujasiri wa kujua nini cha kuzungumza na huyo mzazi, ila ukiruhusu wasiwasi huu ulionao kwasasa ukakutawala hutopata maneno ya busara ya kuzungumza in case kama huyo mzazi atakuja kweli.

Ila kiujumla kuna mengi yanayotokea katika jamii ambayo ukitulia na kutafakari utajua kweli matatizo ya kisaikolojia yanatawala watu wengi na kwa bahati mbaya wengi huchukulia jambo la kawaida sana bila kulipa uzito na kuishia kutokulitafutia ufumbuzi. Mara nyingi watu tunahamasishwa tubadilike, unfortunately wengi hilo neno wanalitazamia juujuu sana but deepdown kuna mengi.

Waalimu wachache, wengi wanatafuta maisha na hawana muda wa kufanya mabadiliko mengine katika maisha ya mwanafunzi zaidi ya kumkaririsha what's physics mengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom