Msaada: Sipendi kushauriwa na mwanamke

Msaada: Sipendi kushauriwa na mwanamke

Tozii Nyambii

Senior Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
144
Reaction score
77
Habari zenu wana JF I hope Eid yenu imeenda poa,

Mimi nina tatizo moja yaani siwezi kushauriwa kitu na mwanamke hata kama nimekosea nakuwa too harsh naona kama kanidharau.

Yaani inshort mimi mwanamke hawezi mnishauri kitu nikamsikiliza hata akinambia tuu jambo namkubalia ila sitekelezi na sio kama siwapendi ni hali ambayo inatokega automatically.

Wakuu hii hali imenisababisha nishindwe kabisa kudumu kwenye mahusiano hii hali sipendi naomba msaada niweze kuwaacha na niache kudharau wanawake jamani naichukia hii hali.
 
Dah..mkuu kwani reason hasa ya wewe kudharau wanawake ni nini??
 
Hilo tatizo linaitwa kitaalam"mfumo dume" ila ungetoa mifano ya mambo wanayo kushauri kisha Wewe kuyakataa ni kapa yapi? Inamana hata mama yako mzazi na dada zako na shangazi zako unawazarau?
 
Jaribu kuwa karibu na familia zenye mzazi mmoja yani mama utaona umuhimu wa mwanamke na utaacha kuwadharau.
 
sasa sisi tutakufanya nini cha ajabu?.hilo ni tatizo lako jirekebishe.
 
Uzuri ni kwamba umeshajua tatizo lako, hivyo ukishauriwa na mrembo kama ni ushauri mzuri basi ufanyie kazi. Kuna wanawake wengi tu wana ushauri mzuri sana wa kujenga na kama unauona ni bomu itikia tu sawa bila kuanzisha varangati la kutia dosari kwenye penzi.

Habari zenu wana Jf I hope eid yenu imeenda poa


Mimi Nina tatizo moja yaani siwezi kushauriwa kitu na mwanamke ata kama nimekosea nakua too harsh naona kama kanidharau

Yaani inshort Mimi mwanamke hawezi mishauri kitu nikamskiliza ata akinambia tuu jambo namkubalia Ila sitekelezi na sio kama siwapendi ni hali ambayo inatokega automatically

Wakuu hii hali imenisababisha nishindwe kabisa kudumu kwenye mahusiano hii hali sipendi naomba msaada niweze kuwacha na niache kudharau wanawake jamani naichukia hii hali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom