Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,309
Habari za majukumu wakubwa na wadogo.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Leo asubuhi mnamo mida ya saa tatu rafiki yangu ameenda maeneo ya Kwerekwe sokoni na kupaki gari yake eneo la dharura. Baada ya kushuka na kuelekea sokoni huku akiacha usafiri barabarani kumetokea wizi wa simu na speaker ndani yake.
Point yangu ni hii... Naomba mwenye utaalam wa masuala ya mitandao amsaidie kujua sim ilipo bila kutumia IMEI namba maana yeye anajua google account na namba ya siri tu. Ikifanikiwa kwa yeyote atakaejitolea nitamuomba rafiki yangu amfikirie aliempa masaada.
Ikiwa kuna njia zingine tofauti na hiyo niliyoitaja naomba share nasi ili tupate kujua jinsi ya kuipata sim hiyo. Nawatakia kazi njema.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Leo asubuhi mnamo mida ya saa tatu rafiki yangu ameenda maeneo ya Kwerekwe sokoni na kupaki gari yake eneo la dharura. Baada ya kushuka na kuelekea sokoni huku akiacha usafiri barabarani kumetokea wizi wa simu na speaker ndani yake.
Point yangu ni hii... Naomba mwenye utaalam wa masuala ya mitandao amsaidie kujua sim ilipo bila kutumia IMEI namba maana yeye anajua google account na namba ya siri tu. Ikifanikiwa kwa yeyote atakaejitolea nitamuomba rafiki yangu amfikirie aliempa masaada.
Ikiwa kuna njia zingine tofauti na hiyo niliyoitaja naomba share nasi ili tupate kujua jinsi ya kuipata sim hiyo. Nawatakia kazi njema.