Kipunga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 262
- 573
Tafuta wataalamu ila ukienda polisi wanakuzungusha tuuMkuu sio lazima niseme utapewa kitu fulani, yatosha kusema hivo maana hata mwenye shida pia ni muungwana.
Tafuta wataalamu ila ukienda polisi wanakuzungusha tuuMkuu sio lazima niseme utapewa kitu fulani, yatosha kusema hivo maana hata mwenye shida pia ni muungwana.
Hivi ukiflash huiwezi kuitrack simu na mhusika akakamatwaSi aghalabu kubadili IMEI namba maana bado sana watu wa huku kufanya michezo hiyo kikubwa anatoa line na kuflash basi.
Kuna simu siku hizi huwezi badili imei nrAingie Google dashboard atapata hiyo IMEI number ya simu na mara ya mwisho hiyo simu ilionekana sehemu gani.
Endapo imeibiwa na mjanja au akauziwa mjanja, akibadili IMEI number ndo imetoka hiyo.
Miye niliibiwa simu lkn nimetumia email ileile kwenye simu mpya, nikutumie mkuu, maana wezi wabaya sana.Embu n Dm email na pin nkusaidie
Akichelewa chelewa itakuwa too late!Bado hajaikumbuka maana aliindika sehemu ila nimemwambia akifaka kwake anitumie.
Imepita muda gani toka iibiwe!??Miye niliibiwa simu lkn nimetumia email ileile kwenye simu mpya, nikutumie mkuu, maana wezi wabaya sana.
Hii siyo rahisi japo inaweze kuonekana piaMwaka hv
Ni kweli.Hii siyo rahisi japo inaweze kuonekana pia
Siyo rahisi ila embu tujaribu af unipe majina ya simu zote mbili, ya saiv na iyo iliyopotea.Mwaka hv
Basi mkuu acha kwangu isome hasara kwangu.Asante sanaSiyo rahisi ila embu tujaribu af unipe majina ya simu zote mbili, ya saiv na iyo iliyopotea.
Nenda police kama simu inatumika na mtu mwingine utaipata ila jamaa pia utawapooza chochote kituMie nahitaji mtu nimpatie IMEI yangu anitafutie simu yangu, nikiipata kwa kweli nitampatia elfu 50,000/- cash. Niko Morogoro
Basi mkuu acha kwangu isome hasara kwangu.Asante sana
Na ukirudi waachie hata buku mbili unakuwa salama siku zote.MNAPO PAKI MAGARI SEHEMU NGENI
MKISHUKA WASALIMIE JAMAA WALIYOKO
KARIBU, WAAMBIE UNAPAKI KWA MUDA UTARUDI,ONYESHA HESHIMA FULANI
UTALINDIWA KWA STYLE
SASA WE UNAPAKI GARI KIBUBUBUBU
ova
Kwa hiyo unajisifia kwa kujichukulia sheria mkononi mwako?why hukumpeleka police or call them?mnatuharibia sana nchi yetu mtu kama wewe hizi kangaroo courts hatuzihitaji.