Msaada Passo yangu haina nguvu kabisa tatizo ni nini?

gubegubekubwa

JF-Expert Member
Jun 9, 2008
637
814
Wakuu passo yangu ni four wheel drive tangu last month imekuwa na nguvu ndogo, yaani unakanyaga mafuta bado inakuwa inatembea polepole sana. Mlimani ndio kabisaa inataka hata kusimama. Kama kuna mafundi humu au wazoefu nisaidieni jamani tatizo litakuwa ni nini?
 
Kama ni automatic inaweza kuwa Torque Converter, kama ni manual itakua Clutch.
 
Kuna vitu vingo Vya kuangalia kafanye check up ya machine, na kingpin inaweza kuwa gearbox oil imepungua au kuwa nyepesi
 
Wakuu passo yangu ni four wheel drive tangu last month imekuwa na nguvu ndogo, yaani unakanyaga mafuta bado inakuwa inatembea polepole sana. Mlimani ndio kabisaa inataka hata kusimama. Kama kuna mafundi humu au wazoefu nisaidieni jamani tatizo litakuwa ni nini?
kacheki uchomaji wa mafta au kaifanyie diagnosis mkuu huenda oxygen sensor imekufa.
Service ya passo ni ghali na hivi vigari vina vipuri ghali sana na engine zake za ovyo nashangaa suzuki carry na engine ndogo ya cc660 na three pistons kinabeba mzigo na kinapiga kazi bila shida lakini passo yenye engine ndo ni cc990 lakini ovyo kabisa niliknunuaga cha piston tatu kwanza engine ina vibrate ukiwa umesimama mpaka bodi unaskia ina vibration halafu hakina nguvu unakanyaga mafta kwa gafla kinasubiri sekunde kadhaa ndo kinaongeza mwendo vigari vya ovyo kweli...
 
kacheki uchomaji wa mafta au kaifanyie diagnosis mkuu huenda oxygen sensor imekufa.
Service ya passo ni ghali na hivi vigari vina vipuri ghali sana na engine zake za ovyo nashangaa suzuki carry na engine ndogo ya cc660 na three pistons kinabeba mzigo na kinapiga kazi bila shida lakini passo yenye engine ndo ni cc990 lakini ovyo kabisa niliknunuaga cha piston tatu kwanza engine ina vibrate ukiwa umesimama mpaka bodi unaskia ina vibration halafu hakina nguvu unakanyaga mafta kwa gafla kinasubiri sekunde kadhaa ndo kinaongeza mwendo vigari vya ovyo kweli...
Ha ha kweli una experience na hivyo vigari...
 
Ha ha kweli una experience na hivyo vigari...
Mkuu nina experience nacho ni vigari vya ovyo sana service zake kwanza ghali bushes zake ghali yani vipuri vyake ghali na bado havina nguvu halafu sijui mafundi hawavijulii kikianza kugonga gonga kwenye miguu utazunguka kwa mafundi wote utabadirhsa bush ila hakitaacha kugonga upitapo kwenye makorongo.
 
Check na fundi aangalie,plugs.Kama plugs zipo ok,aangalie kama umeme unaletwa vizuri, kwenye hizo plugs.Vile vile aangalie air filter, inawezekana ime chock .
 
Back
Top Bottom