Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Wadau naombeni msaada wenu mnijuze website ambayo nitapata softwera za nokia n900 maana ovi yao haina kitu;nahitaji softwera kama whatap na social network nyngne
Nawasilisha
Nawasilisha
ujue hio simu ipo kideveloper zaid kuliko mtumiaji wa kawaida na hata operating system yake sio maarufu.
Next time tumie neno maemo wakati unasearch mfano maemo games au maemo application
By the way jaribu link hii
My-Maemo.com - Maemo (N900) Freeware & Shareware Downloads
Hivi mkuu nilisikia maemo imekuwa developed from linux, vipi wameamua ipiga chini nini maana naona hawajatoa simu mpya yenye hii os zaidi ya hiyo
Hivi mkuu nilisikia maemo imekuwa developed from linux, vipi wameamua ipiga chini nini maana naona hawajatoa simu mpya yenye hii os zaidi ya hiyo
Wametoa nyingine sema haiuzwi wanapewa developers jina meisahau ila ina specifics kubwa sana
Kwa hiyo developers wanafanya kazi ya kuiboresha na kuitengenezea applications au?
Naona mbele wanazidi poteza soko labda huku kwetu ambapo watu wanakubari sana simu za nokia na wanatumia simu kama simu tu hawaangalii mambo mengne.
ujue hio simu ipo kideveloper zaid kuliko mtumiaji wa kawaida na hata operating system yake sio maarufu.
Next time tumie neno maemo wakati unasearch mfano maemo games au maemo application
By the way jaribu link hii
My-Maemo.com - Maemo (N900) Freeware & Shareware Downloads
kwa whatapp suburi kuna third Party application inaitwa wazzap ita fanya sim yako i support whatsapp. Inatarajiwa kurushwa sio muda katikati mwa may. whatsapp wao wamekata kutoa
ss
Dah ni meego kaka nlidhan succssesor ya n900 pia ni maemo ni nokia n950
Ila kaka hii maemo sidhan kama ipo kwa ajili ya watu kawaida ila wenye expirience sana.
Now nokia naona wamebase kwenye hii appolo operating system mpya
Achana na iphone inayorikod hd ya 1080 hio ni 2160p kama unavoiona
N9 SIO SUCCESSOR YA N900 BUT MeeGo ndo SUCCESSOR YA Maemo. Ni kama vile ANDROID GINGERBREAD TO ICE CREAM SANDWICH
kaka hiyo si windows mob, aisee kama kuna os nimetumia na ambayo sitopenda kuwa na simu ina yo run hiyo platform tena ni WMS. Full ku crash kaka, yani nimetumia samsung omnia ikazingua sana mpaka nkaitupa nikaja tumia xperia x2 nayo yale yale. Labda kama ni WMB 8 may be itakuwa poa
Hujanisoma kaka sijaandika n9 ila wewe ndo umeandika n9 mimi nimeandika n950 ndio successor ya n900 hebu google it uone