Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

Wanafunzi wa Yesu kuna wakati walishindwa kumtoa mtu pepo,je walikuwa hawajaokoka???

Umesoma hicho kipengele vzr? Baada ya kushindwa Yesu aliwajibu nn?
'Namna hii haiwezekani ila kwa kufunga na kuomba'...
Means sio kila kitu cha kuomba/kuombea kwa styl hyohyo kuna vingine lzm ufunge na kuomba, kwa maana nyingine sio kila shida ni ya kuomba tu wakati mwingine bfore hujaomba u need revelation, Mungu through holy spirit anakwambia kwa hili omba hivi ndo utaona umhim wa roho mtakatifu coz yy ni director!
Na hapa ndo utajua kuwa wakristo wengi wanashinda njaa badala ya kufunga!coz wanaamua Wenyewe na sio maelekezo ya roho mtakatifu!
 
Ni mitandao miwili tofauti na mara nyng ukinzana hata kwa uamini wao kwa mfano imani inayomtegemea mungu mara nyng inaongerea amani kuheshimiana na kutambua umuhimu wa watu wengine ila wachawi mara zote wanaheshiniana kwa nguvu za kichawi kama wanajeshi wanavyoheshimiana kwa vyeo wao ni wababe kuanzia kwa wao wenyewe kwa wenyewe hadi kwa watu wa mtandao wa mungu haswa wenye imani nusunusu ila ni vigumu kama haupo kwny mtandao wa kichawi ukarogwa hivyo nionavyo mimi
 
Ni mitandao miwili tofauti na mara nyng ukinzana hata kwa uamini wao kwa mfano imani inayomtegemea mungu mara nyng inaongerea amani kuheshimiana na kutambua umuhimu wa watu wengine ila wachawi mara zote wanaheshiniana kwa nguvu za kichawi kama wanajeshi wanavyoheshimiana kwa vyeo wao ni wababe kuanzia kwa wao wenyewe kwa wenyewe hadi kwa watu wa mtandao wa mungu haswa wenye imani nusunusu ila ni vigumu kama haupo kwny mtandao wa kichawi ukarogwa hivyo nionavyo mimi

Hakuna mungu wala uchawi.

Vyote viwili hivi ni matokeo ya mawazo ya binadamu tu.
 
Unajuaje kwamba utundu ule ule unaotumiwa kwenye movies hauwezi kubadilishwa kidogo tu na kufanywa kwenye live audience ukakufanya uamini kwamba ni uchawi.

Ushawahi kuona watu wanavyoliwa hela kwenye mchezo wa karata tatu?

Kama ushawahi kuna uchawi pale?

Mazingaombwe ni karata tatu tu, mengine yanaweza kuwa complex zaidi yakataka more preparation and involvement, lakini principle ni ile ile tu.

Unajuaje kwamba utundu ule ule unaotumiwa kwenye movies hauwezi kubadilishwa kidogo tu na kufanywa kwenye live audience ukakufanya uamini kwamba ni uchawi.

Ushawahi kuona watu wanavyoliwa hela kwenye mchezo wa karata tatu?

Kama ushawahi kuna uchawi pale?

Mazingaombwe ni karata tatu tu, mengine yanaweza kuwa complex zaidi yakataka more preparation and involvement, lakini principle ni ile ile tu.

Unavyojichanganya!..mie bado nataka unijibu ni nguvu gani inayotumika hadi kuyafanya macho yangu au yako yaone kweli mtu anakatwa kichwa?

Kuhusu movie mie navyojua hutumika computer,na hata hivyo movie haiusiani hapa kabisa hapa tunazungumzia tukio la live.
 
Siwezi kuitazama kwa sasa, nitaitazama baadaye.

Kwa hiyo ukionyeshwa video Amitab Bachchan karuka ghorofa mia utaamini kwamba karuka kweli?

Na nimekuuliza, hata kama ni kweli jamaa kapoteza hizo sehemu zake za siri, kitu gani kitafanya jibu automatically liwe uchawi na si kitu kingine chochote, hata kama kiwe improbable namna gani ?

After all watu siku hizi wanafanya mpaka sex change surgery, wanaume wanaondoa dhakari na kuota maziwa!

Hiyo nayo ni uchawi?

Mkuu hoja zimekuishia sasa surgery utafananisha vp na hali ya kupotea sehemu za siri kwa ghafla?
Haya tufanyi hili jambo halijasababishwa na uchawi,lakini hili jambo ni la ajabu,sasa haya hebu niambie kupotea huko kwa sehemu za siri je wewe kwako unaonaje ni kawaida?
 
Super natural forces hazipo. Hazijawa established kwamba zipo, na ili kusema zipo inabidi ziwe established kwanza.

Forces zote walizofikiri watu wa zamani ni supernatural ilikuwa kwa sababu ya ujinga tu, tulivyokuja kujifunza zaidi tumeelewa kwamba ni natural na si supernatural.

This shows that there is a clear convergence towards defining all phenomena from a natural perspective and not needing the supernatural, especially if it is a blatant lumping together of almost all the unknown, lazily, into a pile of "uchawi" or "mungu".

Ndiyo habari ile ile ya watu wa zamani kufikiri mtu anayeweza kutabiri kupatwa kwa mwezi au jua ni mchawi, kumbe ni astronomy tu.

Au watu walifikiri anga kupiga radi ni mungu kakasirika anafoka, kumbe ni mambo ya umeme angani tu.

Sasa, hata vile ambavyo hatuvielewi vinatokeaje, tufanye juhudi ya kuvichunguza na kuvielewa.Vinaeleweka within a natural context tu. Hakuna sababu ya kukimbilia supernatural wakati bado hatujui vitu vingi sana kuhusu the natural world.

Utasemaje "this is supernatural" wakati huja exhaust knowledge ya the natural world?

The word "supernatural" depicts that this has surpassed the natural, that is why it is "supernatural".

Sisi hata hatujui mwisho wa the natural world ni wapi. Kuna watu wanafanya mahesabu ya ku reconcile quantum theory na relativity mpaka leo. Mahesabu yamemshinda Einstein kuanzia miaka mia moja iliyopita mpaka analala kaburini, watu wanayafanya mpaka leo hawajaweza kuyamaliza. Na haya yote yanahusiana na the natural world.

Sasa kabla hatujamaliza haya ya natural world unapata wapi confidence ya kusema "this is supernatural"?



Poor Kiranga your ignorance will survive for ever kwa majibu yako mepesi katika supernatural force ...hembu soma hapa:


Supernaturalism
Supernaturalism is perhaps the broadest classification of religious practices, encompassing any belief system dealing with supernatural forces. Supernaturalism asserts the existence of forces beyond human comprehension that frequently interfere, for better or worse, in human affairs. Most simply, the laws of nature do not bind the supernatural. These forces are considered impersonal because they are thought to come and go as they see fit, and can inhabit human and non-human objects alike. In popular culture and fiction, the supernatural is whimsically associated with the paranormal and the occult, which differs from traditional concepts in some religions, such as Catholicism, where divine miracles are considered supernatural.

The concept 'mana' is a classic example of a supernatural force that imbues objects with powers and authority. For example, in Polynesian cultures, mana is the force that allows efficacy, or the ability to have an influence in the world. Similarly for Melanesians, mana primarily inhabits objects, like charms or amulets, which confer good fortune to whoever possesses them (though mana can also inhabit people or animals). Mana is not inherently good or evil; its impact depends on how it is used.
 
Last edited by a moderator:
Unavyojichanganya!..mie bado nataka unijibu ni nguvu gani inayotumika hadi kuyafanya macho yangu au yako yaone kweli mtu anakatwa kichwa?

Kuhusu movie mie navyojua hutumika computer,na hata hivyo movie haiusiani hapa kabisa hapa tunazungumzia tukio la live.

Nishakujibu, mimi nikuulize, unajua kusoma?

Tukio la live ma movie vyote ni optics, unaweza kuwa tricked na optics, slight of hand, secret chambers, optical illusions etc.

Read a little.
 
Mkuu hoja zimekuishia sasa surgery utafananisha vp na hali ya kupotea sehemu za siri kwa ghafla?
Haya tufanyi hili jambo halijasababishwa na uchawi,lakini hili jambo ni la ajabu,sasa haya hebu niambie kupotea huko kwa sehemu za siri je wewe kwako unaonaje ni kawaida?

Kupoteza sehemu za siri kwa ghafla una uhakika kwamba imetokea ghafla?

Ulikuwa unamkagua huyo mtu kila siku ukaona siku moja sehemu za siri zimetoweka?

Wapi nimesema.ni.kawaida?

Nick Wallenda anatembea juu ya kamba huku kafumba macho. Hilo ni la kawaida? Si la kawaida. Lakimi je, kutokuwa kawaida kunamaanisha ni uchawi? Hakumaanishi ni uchawi.

Kabla ya kusema huu ni uchawi inabidi ku exhaust kila kitu kingine. Kabla hujamaliza ujuzi wa the natural world huwezi kusema "this is supernatural".

This lazyness on our part when it comes to investigation is what makes us call most things we don't understand "uchawi".

Ndio tunajikuta hata yale tusiyoyaelewa tu, kama mababu zetu walivyokuwa hawaelewi inakuwaje mtu akatabiri kupatwa kwa jua na kukatokea siku ile ile aliyotabiri, tunaxaita uchawi, supernatural. Wakati kuna explanations nzuri tu in the natural world.
 
Poor Kiranga your ignorance will survive for ever kwa majibu yako mepesi katika supernatural force ...hembu soma hapa:


Supernaturalism
Supernaturalism is perhaps the broadest classification of religious practices, encompassing any belief system dealing with supernatural forces. Supernaturalism asserts the existence of forces beyond human comprehension that frequently interfere, for better or worse, in human affairs. Most simply, the laws of nature do not bind the supernatural. These forces are considered impersonal because they are thought to come and go as they see fit, and can inhabit human and non-human objects alike. In popular culture and fiction, the supernatural is whimsically associated with the paranormal and the occult, which differs from traditional concepts in some religions, such as Catholicism, where divine miracles are considered supernatural.

The concept 'mana' is a classic example of a supernatural force that imbues objects with powers and authority. For example, in Polynesian cultures, mana is the force that allows efficacy, or the ability to have an influence in the world. Similarly for Melanesians, mana primarily inhabits objects, like charms or amulets, which confer good fortune to whoever possesses them (though mana can also inhabit people or animals). Mana is not inherently good or evil; its impact depends on how it is used.

This talks about a religion, a system of belief. Not facts.

There are religions posing conflicting ideas. So thetefore they both can't be true.

If this is your best rebuttal you have a long way to go.

Googling and copy pasting wont help you. You need to understand the objections youbare dealing with and address them.
 
Last edited by a moderator:
Jamani uchawi upo na nguvu za Giza zipo...

nilikuaga siamini Kama kiranga but sasa naamini uchawi upo kwa niliyoyashuhudia kwa macho. yangu.
 
Jamani uchawi upo na nguvu za Giza zipo...

nilikuaga siamini Kama kiranga but sasa naamini uchawi upo kwa niliyoyashuhudia kwa macho. yangu.

Kushuhudia kwa macho haina maana kitu ni kweli.

Unaweza kuamini Commando John anaweza kuua jeshi zima, kwa sababu umeona kwa macho.

Au ukafikiri jangwani kuna bwawa, kumbe mirage ya miraji.

Utaibiwa kama kwenye karata tatu.

Tumia akili zako.
 
Kuna ishu imenikumba juzi kati wakati nilipokuwa nafuatilia shamba la mzee wangu kwa ajili ya kulifanyia mchakato wa kulisafisha.
Kufika huko nimekutana na kitu tofauti na matarajio yangu.Yaani shamba limemegwa na mama mmoja na taarifa zikadai hajauziwa ila amekuja kuvamia.

Nilichokifanya nilimchukua anko wangu tukaanza kumtafuta huyo mama bahati nzuri tulikutana naye njiani siku moja.

Anko alipomuhoji kwanini amevamia eneo sio lake hakutujibu badala yake alimrushia anko jini akabaki anagalagala chini na yule mama akaondoka zake mpaka sasa anko kapooza na shamba limemegwa na nikiangalia msimu wa kilimo umekaribia.Je nifanyeje wadau ili niweze pata haki yangu.
N.B

Shamba lina hati zote ila uchawi tu ndio unanitisha.


Dawa ni Yesu Kristo Wa Nazareth aliye hai...

Yesu aliyemfufua Lazaro na ambaye kuzimu na mizimu ilitetemeka kwaajili yake....

Mwite Yesu atakusaidia....

CC: Eiyer Ntuzu Mkuu wa chuo
 
Last edited by a moderator:
Dawa ya mchawi ni kuwa mchawi tu. Yaduniani tuyamalizie hukuhuku tafuta wa taalam wa ukweli ukishindwa kwa yesu, usiache mjomba wako ateseke wapo wataalan zaid
 
This talks about a religion, a system of belief. Not facts.

There are religions posing conflicting ideas. So thetefore they both can't be true.

If this is your best rebuttal you have a long way to go.

Googling and copy pasting wont help you. You need to understand the objections youbare dealing with and address them.
Sijakosea mkuu ila matumizi mabaya ya nguvu hizi ndio uchawi
 
Back
Top Bottom