Tusiende mbali sana mkuu kwa upeo wako super natural forces ni zipi ???
Super natural forces hazipo. Hazijawa established kwamba zipo, na ili kusema zipo inabidi ziwe established kwanza.
Forces zote walizofikiri watu wa zamani ni supernatural ilikuwa kwa sababu ya ujinga tu, tulivyokuja kujifunza zaidi tumeelewa kwamba ni natural na si supernatural.
This shows that there is a clear convergence towards defining all phenomena from a natural perspective and not needing the supernatural, especially if it is a blatant lumping together of almost all the unknown, lazily, into a pile of "uchawi" or "mungu".
Ndiyo habari ile ile ya watu wa zamani kufikiri mtu anayeweza kutabiri kupatwa kwa mwezi au jua ni mchawi, kumbe ni astronomy tu.
Au watu walifikiri anga kupiga radi ni mungu kakasirika anafoka, kumbe ni mambo ya umeme angani tu.
Sasa, hata vile ambavyo hatuvielewi vinatokeaje, tufanye juhudi ya kuvichunguza na kuvielewa.Vinaeleweka within a natural context tu. Hakuna sababu ya kukimbilia supernatural wakati bado hatujui vitu vingi sana kuhusu the natural world.
Utasemaje "this is supernatural" wakati huja exhaust knowledge ya the natural world?
The word "supernatural" depicts that this has surpassed the natural, that is why it is "supernatural".
Sisi hata hatujui mwisho wa the natural world ni wapi. Kuna watu wanafanya mahesabu ya ku reconcile quantum theory na relativity mpaka leo. Mahesabu yamemshinda Einstein kuanzia miaka mia moja iliyopita mpaka analala kaburini, watu wanayafanya mpaka leo hawajaweza kuyamaliza. Na haya yote yanahusiana na the natural world.
Sasa kabla hatujamaliza haya ya natural world unapata wapi confidence ya kusema "this is supernatural"?