Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

Sali na kumuomba mungu kwa imani atakuponya na kukuepusha na baya lolote
 
Sara ni matamshi yenye nguvu sana. Kama vile wachawi wanavyotumia maneno kwa kunuizia uchawi wao ili ufanye kazi, wewe nawe tamka kwa maneno ya kuvunja nguvu za giza huku ukiyaunganisha na nguvu ya Damu ya Yesu Kristo na Moto wa Roho Mtakatifu, mapepo, majini na uchawi utakosa nguvu na kusambaratika vibaya.

Usijidanganye kutumia uchawi kwani huo ni ufalme mmoja haufitiniani. YESU NI JIBU la matatizo yako, mtafute utamuona, muite naye atakuitikia, muombe atakupa na kukutimizia haja zako.
 
Mwambie Yesu Kristo ambaye ni Mungu Mkuu.

Curse those demons in the Name of Jesus. Rebuke the diabolical powers in the name of Jesus.

HEBU FANYA HAYA MAOBI YA KUSARAMBATISHA UCHAWI


Baba katika Jina la Yesu.


Laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la Yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa Damu ya Yesu. Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika Jina la La Yesu.


Nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata Wachawi wote kwa damu ya Yesu.


Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na familayangu katika jina la Yesu.


Naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya Yesu.


Navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la Yesu.


Nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa dhambi zote mnazo fanya katika jina la Yesu.


Naharibu kila uchawi, kila urogi, kila ndumba kila aina ya uovu ambao mnaufanya ili uniumize mimi na familia yangu katika jina la Yesu.


Nawateketeza kupitia damu ya Yesu Wachawi wote walio tumiwa kunitumia uchawi katika jina la Yesu.


Nawateketeza na kuwaharibu majini yote yaliyo tumwa kuja kufanya kazi hiyo waliyo tumwa na Wachawi katika jina la Yesu.


Nawateketeza na kuwauwa Makuhani wote ambao walienda kunishitaki kwa Wachawi ili waniharibie maisha, nawateketeza kupitia damu ya Yesu. Nawachoma kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika Jina la Yesu.


Nateketeza aina zote za vyombo vya kichawi vilivyo tumiwa kuja kunichunguza katika jina la Yesu.


Naharibu fikra zao zote ambazo wanazitumia kufanya kazi zao za kichawi katika jina la Yesu.


Nafuta kumbukumbu zoote zangu ambazo wamewapa Mashetani, Majini, Roho chafu, nafuta hizo kumbukumbu kwa kutumia damu ya Yesu, katika jina la Yesu aliye hai.


Nawateketeza waweka kumbukumbu wa kimashetani kupitia damu ya Yesu aliye hai. Naharaibu na kuchoma kupitia moto wa Roho Mtakatifu makabrasha yote yenye kumbukumbu zangu katika jina la Yesu.


Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuharibu maisha yangu na ubomoa kupitia damu ya Yesu.


Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuniua nauvunja na kuuteketeza kupitia damu ya Yesu.


Kila uchawi ulio fanywa ili kuja kuiba mali zangu, nauvunja na kuubomoa na kuuharibu kupitia damu ya Yesu.


Kila uchawi ulio fanya kuja kuniharibia familia yangu, nausambaratisha na kuuvunja na kuubomoa katika jina la Yesu.


Kila neno la kichawi lililo tumwa ili kuja kuniharibia, kunidhihaki, kunitendea mabaya nalirudisha kwa aliye lituma katika jina la Yesu.


Kila uovu, uchawi, wanga, ndumba, ramli, yaliyo tumwa kuja kwangu navunja yote hayo kupitia damu ya Yesu na katika Jina la Yesu.


Nyota yangu ambayo wanaita nairudisha kupitia damu ya Yesu. Nyota yangu ya baraka nailinda na kuzungushia na kuizingira na damu ya Mwana Kondoo katika jina la Yesu.


Namteketeza yule mtu aliye kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.


Nateketeza mbinu zote wanazo tumia ili kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.


Nateketeza wivu wao, chuki yao, laana zao, maovu yao na kila aina ya uchafu ambao wanao kwa ajili yangu katika jina la Yesu.


Naizungushia na kuizingira nyumba yangu na damu ya Yesu.


Naishungushia na kuizingira familia yangu na damu ya Yesu.


Nashungushia na kuzingira maisha yangu yote na damu ya Yesu.


Navunja laana zote zilizo semwa na mabau zangu katika jina la Yesu.


Navunja laana zato ambazo zilisemwa bila ya mimi kufahamu, nazivunja na kuziharibu kupitia damu ya Yesu na katika jina la Yesu.


Narudisha kila mali walizo ziiba kutoka kwangu katika jina la Yesu.


Narudisha kila baraka walizo ziiba kwangu katika jina la Yesu.


Narudisha amani na upendo.kiongozi naomba unibip contact zangu ni 0713969685
 
Hivi akiomba kabla ya kuokoka maombi yake yatakuwa na nguvu?
Na baada ya kuomba bila kuwa na msingi wa imani katika Yesu Kristo hatatetereka na vita hivi vikubwa vya kupigana na mamlaka na jeshi la nguvu za giza?
Ok, any way ila ushauri wangu wa kwanza aokoke, amjue Yesu na mamlaka yake na for the time being awashirikshe kimaombi wapendwa watakaomwongoza katika wokovu wake na aendelee bila kukoma katika maombi na kwa ujasili siku aende shambani na wapendwa wafanye maombi hapo kabla ya kumvaa huyo mama kwa maswali na taratibu zingine.

U a ryt!
Biblia inasema ' mkaribieni Mungu ndipo mmpinge shetani nae atawakimbia'

Lzm aokoke ili aweze kujipigania akiwa na mamlaka kamili.
 
Kuna ishu imenikumba juzi kati wakati nilipokuwa nafuatilia shamba la mzee wangu kwa ajili ya kulifanyia mchakato wa kulisafisha.
Kufika huko nimekutana na kitu tofauti na matarajio yangu.Yaani shamba limemegwa na mama mmoja na taarifa zikadai hajauziwa ila amekuja kuvamia.

Nilichokifanya nilimchukua anko wangu tukaanza kumtafuta huyo mama bahati nzuri tulikutana naye njiani siku moja.

Anko alipomuhoji kwanini amevamia eneo sio lake hakutujibu badala yake alimrushia anko jini akabaki anagalagala chini na yule mama akaondoka zake mpaka sasa anko kapooza na shamba limemegwa na nikiangalia msimu wa kilimo umekaribia.Je nifanyeje wadau ili niweze pata haki yangu.
N.B

Shamba lina hati zote ila uchawi tu ndio unanitisha.


Mkuu kwanza kabisa kabidhi tatizo lako kwa Yesu Kristo na ujipe imani kuu kuwa Yeye atayatatua bila wasiwasi.
Pili kitu cha msingi USIOGOPE KITU.

Wachawi wana tegemea sana kufanikiwa kama wakikutia hofu, hofu ondoa.
Tatu, unaujua mkwara lakini?
Aisee weka mkwara wa hali ya juu namwambie huyo mama ama zake ama zako, wewe ndo mtie hofu, ikiwezekana mtishie maisha kabisaaaa!
Mpe masaa kuondoka kwenye shamba na mwambie asikanyage pale ama sivyo miguu yake utaifyeka!


Bila kufanya hivyo atakuchezea bila sababu.
 
Mwambie Yesu Kristo
ambaye ni Mungu Mkuu.

Curse those demons in the Name of Jesus. Rebuke the diabolical powers in
the name of Jesus.

HEBU FANYA HAYA MAOBI YA KUSARAMBATISHA UCHAWI


Baba katika Jina la Yesu.


Laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la Yesu na
nazivunja na kuzisambaratisha kwa Damu ya Yesu. Mshindwe wote mnao tuma
laana kwangu katika Jina la La Yesu.


Nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata Wachawi wote kwa damu ya Yesu.


Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na familayangu
katika jina la Yesu.


Naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu
ya Yesu.


Navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la
Yesu.


Nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa
dhambi zote mnazo fanya katika jina la Yesu.


Naharibu kila uchawi, kila urogi, kila ndumba kila aina ya uovu ambao
mnaufanya ili uniumize mimi na familia yangu katika jina la Yesu.


Nawateketeza kupitia damu ya Yesu Wachawi wote walio tumiwa kunitumia
uchawi katika jina la Yesu.


Nawateketeza na kuwaharibu majini yote yaliyo tumwa kuja kufanya kazi
hiyo waliyo tumwa na Wachawi katika jina la Yesu.


Nawateketeza na kuwauwa Makuhani wote ambao walienda kunishitaki kwa
Wachawi ili waniharibie maisha, nawateketeza kupitia damu ya Yesu.
Nawachoma kwa Moto wa Roho Mtakatifu katika Jina la Yesu.


Nateketeza aina zote za vyombo vya kichawi vilivyo tumiwa kuja
kunichunguza katika jina la Yesu.


Naharibu fikra zao zote ambazo wanazitumia kufanya kazi zao za kichawi
katika jina la Yesu.


Nafuta kumbukumbu zoote zangu ambazo wamewapa Mashetani, Majini, Roho
chafu, nafuta hizo kumbukumbu kwa kutumia damu ya Yesu, katika jina la
Yesu aliye hai.


Nawateketeza waweka kumbukumbu wa kimashetani kupitia damu ya Yesu aliye
hai. Naharaibu na kuchoma kupitia moto wa Roho Mtakatifu makabrasha
yote yenye kumbukumbu zangu katika jina la Yesu.


Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuharibu maisha yangu na ubomoa kupitia
damu ya Yesu.


Kila uchawi ulio fanywa ili uje kuniua nauvunja na kuuteketeza kupitia
damu ya Yesu.


Kila uchawi ulio fanywa ili kuja kuiba mali zangu, nauvunja na kuubomoa
na kuuharibu kupitia damu ya Yesu.


Kila uchawi ulio fanya kuja kuniharibia familia yangu, nausambaratisha
na kuuvunja na kuubomoa katika jina la Yesu.


Kila neno la kichawi lililo tumwa ili kuja kuniharibia, kunidhihaki,
kunitendea mabaya nalirudisha kwa aliye lituma katika jina la Yesu.


Kila uovu, uchawi, wanga, ndumba, ramli, yaliyo tumwa kuja kwangu
navunja yote hayo kupitia damu ya Yesu na katika Jina la Yesu.


Nyota yangu ambayo wanaita nairudisha kupitia damu ya Yesu. Nyota yangu
ya baraka nailinda na kuzungushia na kuizingira na damu ya Mwana Kondoo
katika jina la Yesu.


Namteketeza yule mtu aliye kuja kuiba nyota yangu katika jina la Yesu.


Nateketeza mbinu zote wanazo tumia ili kuja kuiba nyota yangu katika
jina la Yesu.


Nateketeza wivu wao, chuki yao, laana zao, maovu yao na kila aina ya
uchafu ambao wanao kwa ajili yangu katika jina la Yesu.


Naizungushia na kuizingira nyumba yangu na damu ya Yesu.


Naishungushia na kuizingira familia yangu na damu ya Yesu.


Nashungushia na kuzingira maisha yangu yote na damu ya Yesu.


Navunja laana zote zilizo semwa na mabau zangu katika jina la Yesu.


Navunja laana zato ambazo zilisemwa bila ya mimi kufahamu, nazivunja na
kuziharibu kupitia damu ya Yesu na katika jina la Yesu.


Narudisha kila mali walizo ziiba kutoka kwangu katika jina la Yesu.


Narudisha kila baraka walizo ziiba kwangu katika jina la Yesu.


Narudisha amani na upendo katika familia yangu.


Damu ya Yesu ipo juu ya Maisha yangu na inasafisha kila uovu, kila
uchawi unaaribiwa na damu ya Yesu katika jina la Yesu.


Leo hii mtaiona Nguvu iliyopo katika damu ya Yesu.


Katika Jina la Yesu aliye hai ninaomba.


Amen

Uhusiano wa mwombaji na Yesu ukoje, ndilo jambo la msingi kwanza. Then maombi!
 
Mkuu Ukitaka Kumshusha Mchawi Kwa Maombi Inabidi Ujitoe Kweli
ukilegeza Ujue Umebeba Wachawi Wa Mtaa Mzima
Cha Muhimu Mchukue Mjomba Na Ukamtibie Kimaombi
We Jilinde Ila Husihitaji Kisasi Na Mchawi Kama Imani Yako Siyo Imara
 
Jina la YESU ni nome, ni njia, ni uzima, "njooni kwangu wote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. Nenda mkuu nenda, litakavyoisha uatashangaa mwenyewe.
 
Ndugu yangu acha fikra potofu fuata taratibu za kisheria ,anzia kwa mjumbe kisha serikali ya mtaa ikishindikana peleka kesa mahakamani, ila hakikisha una makaratasi yanayothibitisha umiliki halali wa hilo shamba
 
Acha kuziba masikio na macho...UCHAWI UPO ...NIMEONA KWA ANKO ALICHOFANYIWA na mchawi


Unajuaje kama ni uchawi na uchawi tu na wala si kitu kingine?

Better yet, uchawi ni nini?
 
Back
Top Bottom