Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

Msaada: Nitapambana vipi na Mchawi?

Kwa hiyo kilichomtokea yule anko ni nini?

Uchunguzi zaidi inabidi ufanyike.

Nchi yenyewe daktari mmoja anahudumia wananchi elfu arubaini, wananchi hawafanyi regular check ups, mtu ana magonjwa yake na msongo wa maisha, amepata a triggering reaction kwa sababu ya confrontation, anaanguka, mnakimbilia kusema uchawi.

Wanasema uchawi hata post mortem ilifanywa?
 
usijaribu kujadili asili hapa hatutapata majibu sababu tayari umeshaamini hakuna MUNGU. Mtoa mada anahitaji msaada wa kuweza kuchukua shamba na anko wake aweze kupona. Amini MUNGU yupo ndugu yangu, hili ni neno ambalo nakuachia..!!

Hatutapata majibu kwa sababu hakuna majibu. Hakuna majibu kwa sababu hakuna mungu.

Mtoa maada anahitaji msaada.

Anahitaji msaada wa elimu.Elimu ya kuelewa kwamba uchawi ni stories tu, na anko wake anaweza kuwa kafariki kwa cardiac arrest au ugonjwa mwingine tu unaoweza kumuua mtu ghafla akiwa katika mshtuko/mabishano yanayoweza kumhamanisha mtu.

Nimeuliza hapa, wanaokimbilia kusema habari za uchawi hata post mortem wamefanya?

Sijajibiwa.

Afrika tunashindwa kuendelea kwa sababu za kuendekeza ujinga kama huu wa kuamini mungu na uchawi.
 
Tatizo liko kwako mkuu..
ww unaandika mungu, mimi namaanisha MUNGU ili twende sawa inabidi umaniishe kama mimi. Ukibaki hapo tutakuwa na muonekano tofauti, napenda wewe uwe muumini mzuri na udumu katika imani ya Kristu.!!

Ukiandika MUNGU hivyo unaniashiria kwamba hata elimu ya msingi ya kufuta ujinga na kujua kanuni za kuandika huna.

Na ndio maana inakuwa rahisi kuamini habari zisizo na kichwa wala mguu za mungu na uchawi.
 
usiishi kwa mapokeo mkuu na kukufanya uamini kila kitu kutoka nje ya Afrika kina ubora. Na ubora uliowafanya kuendelea ambao umetokana na wao kutokuwa wajinga. Funguka jifunze vitu kwa kina, kama uko abroad jaribu kutembelea megafactory industries itakusaidia japokuwa hutajitosheleza kwa muda mchache.!!

Wewe unayeamini habari za mungu, zilizokuwepo miaka na miaka na zisizo na ushahidi, na miye ninayepinga kuwapo kwa mungu na uchawi kwa kudai ushahidi, ambao sijapewa, nani anaishi kwa mapokeo?
 
Mkuu Ukitaka Kumshusha Mchawi Kwa Maombi Inabidi Ujitoe Kweli
ukilegeza Ujue Umebeba Wachawi Wa Mtaa Mzima
Cha Muhimu Mchukue Mjomba Na Ukamtibie Kimaombi
We Jilinde Ila Husihitaji Kisasi Na Mchawi Kama Imani Yako Siyo Imara

Kwani wana nguvu za ushirikiano??
 
Ndugu yangu acha fikra potofu fuata taratibu za kisheria ,anzia kwa mjumbe kisha serikali ya mtaa ikishindikana peleka kesa mahakamani, ila hakikisha una makaratasi yanayothibitisha umiliki halali wa hilo shamba
Mkuu vyote ninavyo ..sema huyu mama watu wamenijulisha huwa hashindwi kitu akiamua anaweza kuua ukoo wote
 
Unajuaje kama ni uchawi na uchawi tu na wala si kitu kingine?

Better yet, uchawi ni nini?
Action aliyofanyiwa anko wangu kutoka katika afya njema mpaka kuwa katika ugonjwa hewa ndio nikaa mini kuna giza hapo
 
sawa wewe habari kuhusu Afrika kutoendelea kwa sababu ya kuamini MUNGU na uchawi umezitoa wapi.?

Tukiongelea kwenye thread hii tu.

Kwa mleta mada.

Mjomba kaanguka, watu hata uchunguzi hawajafanya, wanakimbilia kusema habari za uchawi.

Tutaendelea vipi wakati hatutaki kuchunguza vitu tunataka kutoa majibu mepesi mepesi tu?
 
Hatutapata majibu kwa sababu hakuna majibu. Hakuna majibu kwa sababu hakuna mungu.

Mtoa maada anahitaji msaada.



Anahitaji msaada wa elimu.Elimu ya kuelewa kwamba uchawi ni stories tu, na anko wake anaweza kuwa kafariki kwa cardiac arrest au ugonjwa mwingine tu unaoweza kumuua mtu ghafla akiwa katika mshtuko/mabishano yanayoweza kumhamanisha mtu.

Nimeuliza hapa, wanaokimbilia kusema habari za uchawi hata post mortem wamefanya?

Sijajibiwa.

Afrika tunashindwa kuendelea kwa sababu za kuendekeza ujinga kama huu wa kuamini mungu na uchawi.
Anko wangu hakua na matatizo hata kidogo....alinza kuugua baada ya kurushiana maneno na huyu mama...ghafla akaanguka na kupooza mwili
 
Tukiongelea kwenye thread hii tu.

Kwa mleta mada.

Mjomba kaanguka, watu hata uchunguzi hawajafanya, wanakimbilia kusema habari za uchawi.

Tutaendelea vipi wakati hatutaki kuchunguza vitu tunataka kutoa majibu mepesi mepesi tu?
Utafiti sikufanya ila nilipewa taarifa na wanaomjua mama huyu tabia zake.....
 
Anko wangu hakua na matatizo hata kidogo....alinza kuugua baada ya kurushiana maneno na huyu mama...ghafla akaanguka na kupooza mwili

Unajuaje kwamba hakuwa na matatizo hata kidogo?
 
Unajuaje kwamba hakuwa na matatizo hata kidogo?
Kabla ya kuzama ndani tafadhali nifahamishe uelewa wako...kuhusu yafuatayo
Dunian kuna viumbe wa aina ngapi???
Unamjua firauni na vitimbi vyake..???
Unaujua moto??
Na jeunajua kuna nguvu za giza ??
 
Back
Top Bottom