Msaada: Nipo njia panda juu ya mahusiano yangu

Msaada: Nipo njia panda juu ya mahusiano yangu

Tuliza kichwa na usifanye maamuzi magumu yoyote kwa sasa humu kuna mchele na chuya nyingi utapotezwa. Na ikiwezekana kaa n huyo mchumba ako mpige maswali mazito ili ujue mtazamo wake kabla ya yote. Kuendelea naye na kuachana naye mtu ambaye mmekuwa na mipango naye ya muda mrefu ni maumivu hakuna lililo na nafuu. I wish ungekuwa mdogo angu au dadaangu nikae nawewe kitako nikupange. Pole kwa maumivu unayopitia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko njia panda sielewi nifanyaje na nyumbani kwetu wanajua Kuna ugeni unaenda mwez wa 2 hapa sijui niachane naye au niendelee nae naombeni mnisaidie kuhusu ili jambo linaniumiza sana nahisi kuchanganyikiwa na mda alionipotezea

[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu wetu tunawaombea hawa wanaume uwajalie uponyaji ili hio mikengele yao isiwape shida kabisa. Wapate kufurahia mikengele yao na si kupata tabu na mateso ambazo zinatuumiza na sisi. Tunaomba na kushukuru, tukiamini shida zitaisha!!
Kwa hiyo unalaani Kengele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu, naombeni ushauri wenu katika hili maana hata sielewi nini cha kufanya Nina mpenz Wang nmeishi naye kwa miaka 4 sasa na mwezi wa 2 mwaka huu amepanga kupeleka mahari kwetu ili tufunge ndoa na nyumbani nimeshawapa taarifa kuwa kutakuwa na ugeni cha kushangaza juzi usiku tumelala imeingia text kwenye cm yake ya mdada anamlalamikia kuwa yupo bize sana amemsusa hamjali Kama mwanzo kiufupi ilikuwa inamalalamiko kibao na ilionesha kuwa ni wapenzi kwa usiku huo sikutaka kumwambia mpenzi wangu chochote nilichukua no za yule dada asubui nikampigia nikajitambulisha kuwa nimekuta text yake kwenye cm ya mme Wang kiukwel yule dada alishtuka akanambia kuwa mpenz Wangu alimtongoza na alimwambia hana mke na alikuwa anamleta hadi nyumban tunapoishi coz mm kuna kipindi nilisafiri mwezi mmoja Ila baada ya mda niliporud akawa anaenda naye gest kila akimwambia twende kwako akawa anamzungusha anamwambia kule kwangu Kuna mafundi wanapaka rangi kutakuwa na usumbufu, kiukweli niliumia sana sikuamini ninachokisikia nikamuuliza Kama ni kweli ameshakuleta hadi nyumbani ndani pakoje maana nilihisi labda ananidanganya coz sikuamin Kama mwanaume Wangu anaweza kuleta mwanamke mwingne kwenye kitanda ninacholala nae mm kiukweli huyu dada alinitajia kila kitu kilichopo ndani hadi rangi za mashuka sikuamini bdo nikamwambia njo kwangu akaja alipoingia ndani nikamuuliza ulivyoambiwa hana mke inamana hukuona vtu vyang vya kike humu ndani akanambia hii mikoba kwenye enga haikuwepo na viatu vyako kwenye stend sikuvikuta kwa maana hiyo inaonesha alivitoa akanambia pia na kabati la nguo alikuwa akijaribu kufungua lilikuwa limefungwa na funguo. Baada ya hapo nilijarbu kuongea na mpenz Wangu akakataa kabisa kuwa hajafanya hivyo ila baada ya kumbana sana akakubali akaniomba msamaha sikumjibu hata Kama nimemsamehe nilimwambia kwa ulichonifanyia umeniumiza sana nitakufikiria toka hapo na maumivu makali sana kichwa kinaniuma sana sipati hata usingizi nimepoteza hisia naye kimapenzi nipo nae Ila Niko njia panda sielewi nifanyaje na nyumbani kwetu wanajua Kuna ugeni unaenda mwez wa 2 hapa sijui niachane naye au niendelee nae naombeni mnisaidie kuhusu ili jambo linaniumiza sana nahisi kuchanganyikiwa na mda alionipotezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mpo sawa tu na mwenzio wote mabaharia wivu wa nn wakat hujaolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka minne anakula leo katangaza nia kukuoa, wewe tayari unajitambulisha ‘mke’.... na unashangaa kwamba alishamwambia hana mke.

Roho inakuuma kuliwa kwenye kitanda unacholiwa wewe, ambacho unaita ‘chako’ na bila shaka umekikuta.... kama ndo mimi nasitisha huo ujinga wa kutoa mahari kwa sababu wewe tayari ni ‘mke’.

Huwa hatuongei muda wa kula.
 
Nakushauri fanya maamuzi magumu ili kuokoa nafsi yako.
1. Achana nae ili ukauguze maumivu na apate kupona. Na wakati unafanya maamuzi yako, kumbuka tu usiwaze kuhusu aibu ama fedheha itakayo kupata kwasababu tayari alikuwa mmepanga kwenda kutoa mahari kwa wazazi.
2. Msamehe na hakikisha unasamehe kabisa huku ukimuomba Mungu akutie nguvu ili uvuke salama katika kipindi hiki kigumu sana unacho pitia. Na ukimsamehe hakikisha unafuta na usikumbuke wala kuzungumzia lolote kuhusu tukio ambalo limetokea, na tena vumilia pasipo kujali amekukisea nini na lengo lako liwe ni kugakikisha unaona unaishi na mumeo na mnajenga familia njema.

Jioni nikiwa naelekea huko mipango, nitapita hapo nje kwenu nikuone kama unaendelea vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kipindi kigumu kivipi mbn hamna kipindi kigumu alichopo huyu binti ni cha kawaida sana cha msingi apo ag
Tuliza kichwa na usifanye maamuzi magumu yoyote kwa sasa humu mchele na chuya nyingi utapotezwa. Na ikiwezekana kaa n huyo mchumba ako mpige maswali mazito ili ujue mtazamo wake kabla ya yote. Kuendelea naye na kuachana naye mtu ambaye mmekuwa na mipango naye ya muda mrefu ni maumivu hakuna lililo na nafuu. I wish ungekuwa mdogo angu au dadaangu nikae nawewe kitako nikupange. Pole kwa maumivu unayopitia

Sent using Jamii Forums mobile app
inshu ndogo mnaikuza jaman😛 sijaona sababu ya kuwekana vikao apo 😀😀
 
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu, naombeni ushauri wenu katika hili maana hata sielewi nini cha kufanya Nina mpenz Wang nmeishi naye kwa miaka 4 sasa na mwezi wa 2 mwaka huu amepanga kupeleka mahari kwetu ili tufunge ndoa na nyumbani nimeshawapa taarifa kuwa kutakuwa na ugeni cha kushangaza juzi usiku tumelala imeingia text kwenye cm yake ya mdada anamlalamikia kuwa yupo bize sana amemsusa hamjali Kama mwanzo kiufupi ilikuwa inamalalamiko kibao na ilionesha kuwa ni wapenzi kwa usiku huo sikutaka kumwambia mpenzi wangu chochote nilichukua no za yule dada asubui nikampigia nikajitambulisha kuwa nimekuta text yake kwenye cm ya mme Wang kiukwel yule dada alishtuka akanambia kuwa mpenz Wangu alimtongoza na alimwambia hana mke na alikuwa anamleta hadi nyumban tunapoishi coz mm kuna kipindi nilisafiri mwezi mmoja Ila baada ya mda niliporud akawa anaenda naye gest kila akimwambia twende kwako akawa anamzungusha anamwambia kule kwangu Kuna mafundi wanapaka rangi kutakuwa na usumbufu, kiukweli niliumia sana sikuamini ninachokisikia nikamuuliza Kama ni kweli ameshakuleta hadi nyumbani ndani pakoje maana nilihisi labda ananidanganya coz sikuamin Kama mwanaume Wangu anaweza kuleta mwanamke mwingne kwenye kitanda ninacholala nae mm kiukweli huyu dada alinitajia kila kitu kilichopo ndani hadi rangi za mashuka sikuamini bdo nikamwambia njo kwangu akaja alipoingia ndani nikamuuliza ulivyoambiwa hana mke inamana hukuona vtu vyang vya kike humu ndani akanambia hii mikoba kwenye enga haikuwepo na viatu vyako kwenye stend sikuvikuta kwa maana hiyo inaonesha alivitoa akanambia pia na kabati la nguo alikuwa akijaribu kufungua lilikuwa limefungwa na funguo. Baada ya hapo nilijarbu kuongea na mpenz Wangu akakataa kabisa kuwa hajafanya hivyo ila baada ya kumbana sana akakubali akaniomba msamaha sikumjibu hata Kama nimemsamehe nilimwambia kwa ulichonifanyia umeniumiza sana nitakufikiria toka hapo na maumivu makali sana kichwa kinaniuma sana sipati hata usingizi nimepoteza hisia naye kimapenzi nipo nae Ila Niko njia panda sielewi nifanyaje na nyumbani kwetu wanajua Kuna ugeni unaenda mwez wa 2 hapa sijui niachane naye au niendelee nae naombeni mnisaidie kuhusu ili jambo linaniumiza sana nahisi kuchanganyikiwa na mda alionipotezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nitofautiane na wengi.
Miaka 4, mnaishi pamoja, mnaitana wapenzi sio? Wa upande wenu, na wa upande wa mwenzako wanajua kuwa mnaishi pamoja kwa miaka 4? Inapotokea, ikitokea na kwa mazoea tu ya sisi, wa upande wenu huwa wanakujuliaje hali pale wanapotaka ku-address mahusiano yenu, "hajambo mpenzi wako?", au "hajambo mwenzio?".

Kwa bahati mbaya sana, mwanaume ataendelea kuwa wa ukoo wa baba'ake na mwanamke ni hamsini kwa hamsini....kujisogeza kwako kwake bila taratibu, nikama umeiua 50 moja tayari. Mwisho wa siku ungesubiri tu hayo mashida ukutane nayo baada ya hizo taratibu rasmi.

Aaaah, nilipaswa nikushauri kuhusu kuwa njia panda.
 
Ni kwel wanaume asili yao kuchepuka Ila Mimi kinachoniumiza sana kumleta huku ndani ninakoishi naye yani kila nikiona hiki kitanda maumivu yanaanza moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kitanda ulikinunua wewe ? Cha msingi ni kufikiria maisha yako zaidi kuliko matukio yaliyopita. Kama mwanamke husika alikuwa akilalamika kutelekezwa na mmeo mtarajiwa ni wazi hakuwa na maslahi ya muda hapo. Kitendo cha huyo dada naye kuja mpaka kwako ni dhahiri alikuwa mstaarabu na muelewa, hivyo hatoangaika tena na mmeo mtarajiwa siku za usoni. Kitu kikubwa katika maisha yako ya ndoa ni Msamaha, ukiingia na roho yako ya vinyongo na kutokuwa mtu wa msamaha hakika ndoa itakusumbua.
 
Pelekea zawadi nono huyo mganga wako, umeshinda pambano baharia katangaza ndoa... hao wapinzani wako umewazidi kete na hakuwa huyo tu mmoja uliyeoteshwa.
 
I'm not trying to be women's hero ila wanaume wengi hatupo genuine hapa kwenye michango yetu. Tuna double standards in short.
Najaribu kufikiria the same situation angekuwa amefanyiwa mwanamume na akawasilisha hapa, most of us would curse women. Kuna uzi jamaa ameanzisha juzi sjui kagongewa mke na mtu ambae alisha muonya asiwasiliane na mkewe ila mwisho wa siku mkewe kamegwa na jamaa kaja kuomba ushauri amfanye nini mwizi wake, wanaume wamefunguka sana kule.
In my opinion,Usaliti ni usaliti tu, life's so short na kwa kipindi hiki kifupi tunachoishi let's live as real as possible, maisha ya kuumizana na kusalitiana sio sawa,ni bora kuyaepuka kwa nguvu zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa dada umeandika vzur ila mwshon sasa unasema, muda amekupotezea kwa maana ya kwamba huwez kumuacha kwa sababu muda umekuacha hata kama tukushuli umuache hutamuacha, kifup msamehe tu kosa sio kosa bali kuridia kosa pia wanaume saiv ni wachache japo wamepungukiwa ngv za kiume ila ukiwa nae umeolewa dada siku ukimuacha atakuja yule alieletwa ndan ko changanya na zako sasa
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu, naombeni ushauri wenu katika hili maana hata sielewi nini cha kufanya Nina mpenz Wang nmeishi naye kwa miaka 4 sasa na mwezi wa 2 mwaka huu amepanga kupeleka mahari kwetu ili tufunge ndoa na nyumbani nimeshawapa taarifa kuwa kutakuwa na ugeni cha kushangaza juzi usiku tumelala imeingia text kwenye cm yake ya mdada anamlalamikia kuwa yupo bize sana amemsusa hamjali Kama mwanzo kiufupi ilikuwa inamalalamiko kibao na ilionesha kuwa ni wapenzi kwa usiku huo sikutaka kumwambia mpenzi wangu chochote nilichukua no za yule dada asubui nikampigia nikajitambulisha kuwa nimekuta text yake kwenye cm ya mme Wang kiukwel yule dada alishtuka akanambia kuwa mpenz Wangu alimtongoza na alimwambia hana mke na alikuwa anamleta hadi nyumban tunapoishi coz mm kuna kipindi nilisafiri mwezi mmoja Ila baada ya mda niliporud akawa anaenda naye gest kila akimwambia twende kwako akawa anamzungusha anamwambia kule kwangu Kuna mafundi wanapaka rangi kutakuwa na usumbufu, kiukweli niliumia sana sikuamini ninachokisikia nikamuuliza Kama ni kweli ameshakuleta hadi nyumbani ndani pakoje maana nilihisi labda ananidanganya coz sikuamin Kama mwanaume Wangu anaweza kuleta mwanamke mwingne kwenye kitanda ninacholala nae mm kiukweli huyu dada alinitajia kila kitu kilichopo ndani hadi rangi za mashuka sikuamini bdo nikamwambia njo kwangu akaja alipoingia ndani nikamuuliza ulivyoambiwa hana mke inamana hukuona vtu vyang vya kike humu ndani akanambia hii mikoba kwenye enga haikuwepo na viatu vyako kwenye stend sikuvikuta kwa maana hiyo inaonesha alivitoa akanambia pia na kabati la nguo alikuwa akijaribu kufungua lilikuwa limefungwa na funguo. Baada ya hapo nilijarbu kuongea na mpenz Wangu akakataa kabisa kuwa hajafanya hivyo ila baada ya kumbana sana akakubali akaniomba msamaha sikumjibu hata Kama nimemsamehe nilimwambia kwa ulichonifanyia umeniumiza sana nitakufikiria toka hapo na maumivu makali sana kichwa kinaniuma sana sipati hata usingizi nimepoteza hisia naye kimapenzi nipo nae Ila Niko njia panda sielewi nifanyaje na nyumbani kwetu wanajua Kuna ugeni unaenda mwez wa 2 hapa sijui niachane naye au niendelee nae naombeni mnisaidie kuhusu ili jambo linaniumiza sana nahisi kuchanganyikiwa na mda alionipotezea

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wapendwa? Poleni na majukumu, naombeni ushauri wenu katika hili maana hata sielewi nini cha kufanya Nina mpenz Wang nmeishi naye kwa miaka 4 sasa na mwezi wa 2 mwaka huu amepanga kupeleka mahari kwetu ili tufunge ndoa na nyumbani nimeshawapa taarifa kuwa kutakuwa na ugeni cha kushangaza juzi usiku tumelala imeingia text kwenye cm yake ya mdada anamlalamikia kuwa yupo bize sana amemsusa hamjali Kama mwanzo kiufupi ilikuwa inamalalamiko kibao na ilionesha kuwa ni wapenzi kwa usiku huo sikutaka kumwambia mpenzi wangu chochote nilichukua no za yule dada asubui nikampigia nikajitambulisha kuwa nimekuta text yake kwenye cm ya mme Wang kiukwel yule dada alishtuka akanambia kuwa mpenz Wangu alimtongoza na alimwambia hana mke na alikuwa anamleta hadi nyumban tunapoishi coz mm kuna kipindi nilisafiri mwezi mmoja Ila baada ya mda niliporud akawa anaenda naye gest kila akimwambia twende kwako akawa anamzungusha anamwambia kule kwangu Kuna mafundi wanapaka rangi kutakuwa na usumbufu, kiukweli niliumia sana sikuamini ninachokisikia nikamuuliza Kama ni kweli ameshakuleta hadi nyumbani ndani pakoje maana nilihisi labda ananidanganya coz sikuamin Kama mwanaume Wangu anaweza kuleta mwanamke mwingne kwenye kitanda ninacholala nae mm kiukweli huyu dada alinitajia kila kitu kilichopo ndani hadi rangi za mashuka sikuamini bdo nikamwambia njo kwangu akaja alipoingia ndani nikamuuliza ulivyoambiwa hana mke inamana hukuona vtu vyang vya kike humu ndani akanambia hii mikoba kwenye enga haikuwepo na viatu vyako kwenye stend sikuvikuta kwa maana hiyo inaonesha alivitoa akanambia pia na kabati la nguo alikuwa akijaribu kufungua lilikuwa limefungwa na funguo. Baada ya hapo nilijarbu kuongea na mpenz Wangu akakataa kabisa kuwa hajafanya hivyo ila baada ya kumbana sana akakubali akaniomba msamaha sikumjibu hata Kama nimemsamehe nilimwambia kwa ulichonifanyia umeniumiza sana nitakufikiria toka hapo na maumivu makali sana kichwa kinaniuma sana sipati hata usingizi nimepoteza hisia naye kimapenzi nipo nae Ila Niko njia panda sielewi nifanyaje na nyumbani kwetu wanajua Kuna ugeni unaenda mwez wa 2 hapa sijui niachane naye au niendelee nae naombeni mnisaidie kuhusu ili jambo linaniumiza sana nahisi kuchanganyikiwa na mda alionipotezea

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka uishi bila Upinzani? Upite bila kupingwa? Hilo haliwezekani kabisa.

Wewe ng'ang'ania mahari iende kwenu, usije ukaachwa mazima. Maana hamchelewi kujifanya mnawasha moto na kuanza kuwashaurisha marafiki zenu tena ambao hawajaolewa! Wengine na adui naye anapitia hapo hapo.

Ni wakati wa kuongeza upendo kwa mumeo na kwa Mungu. Huyo tayari ni mume wako. Usimshushe hadhi. Mbona hujiamini?
Ongeza mahaba, ongeza upendo na kila kitu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom