chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,150
- 2,354
achana nae huyo
Mzee baba kweli ujue,na wadada wengi hawajui tu ni makosa sana kumnyima mwanaume hasa jamii ya asprin,gudume,zero iq n.k vitu vinavyopatikana mtaa wa pili tu hapo. Uanaume ni mgumu sana kwa kweli,jamaa alikuwa anamalizia testingAisee we jamaa umenichekesha sana. Afu unakuta mkengele umeleta fujo afu ukimwomba akusaidie kuutuliza anakutolea nje.... wakati mita kumi toka alipo wako kama 8 hivi ambao wako tayari kukusaidia bila shuruti.
Makengele ni kama maendeleo... hayana chama
Hahahaa dah... ma mi umenijumuisha na hao mabazazi???Mzee baba kweli ujue,na wadada wengi hawajui tu ni makosa sana kumnyima mwanaume hasa jamii ya asprin,gudume,zero iq n.k vitu vinavyopatikana mtaa wa pili tu hapo. Uanaume ni mgumu sana kwa kweli,jamaa alikuwa anamalizia testing
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida kaweka vigezo viiiiingi kama anataka kusajili agent wa CIA. Wote tuna mapungufu na utofauti na namna ya kuficha dhambi tuMbona wanaumme 80% tuko hivo au tunakaribia kua hivo utaacha wangapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dada naye baadhi ya nut zimelegea kidogo kwenye nguzo ya medula obolongata,unawezaje kumuita Mshindani wako na kumuingiza chumbani kufanya uchambuzi kujua kama kweli alitakaswa katika kitanda hicho,hapo kafanya hovyo kabisaAdui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake, kwa mantiki hiyo yawezekana umempigia ile kujitambulisha akaona afanye yake akuumize au awaachanishe ashike yeye hiyo nafasi, ulikosea kumtafutaa sanaaaa na hivyo ulimpa nafasi ya kuharibu, furahia matokeo ya matendo yako
Don't hunt what you can't kill.
Hahahaa dah... ma mi umenijumuisha na hao mabazazi???
Anataka mme ammiliki mwenyewe. Labda akaolewe na Yesu
Babuuu 😀😀Anayeenda kutolewa mahari ni wewe, si ndio? Kwa mantiki hiyo atakayeolewa ni wewe...
Sasa sababu za kupaniki ni nini? Hivi nyie wasichana ni lini mtakuja kuamini mwanaume ni jasiri asiyeacha asili take? Asili ya mwanaume ni kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja.
Hebu piga moyo konde endelea kula raha na huyo jabali. Maisha ni hayahaya tena mafupi sana.
Mme wako ni pale unapokuwa naye.
Babu nimemaliza narudi kitandani
Labeka mjukuu...Babuuu 😀😀
Nunueni kipyaNi kwel wanaume asili yao kuchepuka Ila Mimi kinachoniumiza sana kumleta huku ndani ninakoishi naye yani kila nikiona hiki kitanda maumivu yanaanza moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusalimia tuLabeka mjukuu...
Sasa we mwache huyo uje ukutane na kipanga mwingine. Utamkumbuka nakuambia. Usije sema sijakuonyaIla wanaume Mungu anawaona jamani, me juzi yamenikuta kama yako.
Na sijui kashtukia kitu gani kila muda anataja ndoa tu me nam-zoom tu, sikubali sikatai nipo katikati maana nishajua siyo mume bora kwangu.
Ahahahaha kwa kweli umenifurahisha mkuu .Dada weka kautulivu kidogo tu utapata uelekeo mzuri tu. Kuchagua samaki mmoja katika bahari sio kazi ndogo. Wanaume tuna kazi ngumu mno katika hili,kaacha wengi na huyo aliyetuma sms ni mmoja tu kati ya waliokuwa katika bahari.
Hebu jipige kifuani jiambie mimi ndo mchaguliwa na mliwa wa milele. Nikwambie ukweli ukijivuruga hapo jamaa hana cha kupoteza kwa sababu ana akiba ya kutosha kabisa,atavua samaki mwingine na wewe ulianziwa process ya kutolewa magamba utatupwa baharini ukapambane na wenzio.
Kikubwa ungea nae kiupole kwa hekima na busara na si kumsimanga sana utakuwa unaharibu mchezo mzima.
Kikubwa zaidi nikupe kasiri kadogo dada angu" ukipewa uume na kuwa mwanaume japo kwa wiki moja tu utaona tunavyopata shida na hii mikengere yetu". Mtuombee tu
Sent using Jamii Forums mobile app