missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,337
ni kuomba msaada wa kimawazo wa swala lililonipata kama uzi ulivyojieleza.nitafurahi sana kwa ushauri wako utakaonipa ndugu.
Uzi umeeleza nini?
ni kuomba msaada wa kimawazo wa swala lililonipata kama uzi ulivyojieleza.nitafurahi sana kwa ushauri wako utakaonipa ndugu.
Dictionary zetu zitahusika sana mwaka huu tehHuyu dogo anafanya kusudi kama hujamgundua, kiki at work.
Kijamaika nn icho!?
Dictionary zetu zitahusika sana mwaka huu teh
bandiko lako ni moja kati ya mabandiko mabovu sana kuwahi kusomwa na mimi
Hahhaha labda Ras Simba anafundisha na Kiswahili pia. Atakuwa kajifundisha "standard swahili" buanaAliwahi kusema hajui kiswahili, cha ajabu leo anatiririkaaaa.....
Uzi umeeleza nini?
naomba upitie tena tafadhari ndugu
Hahhaha labda Ras Simba anafundisha na Kiswahili pia. Atakuwa kajifundisha "standard swahili" buana
Naanzaje Ku comment bila kupitia uzi,fafanua kwa lugha NYEPESI. Ulichokiandika sijakielewa..ni kigumu utafikiri lugha za watu wa misituni..wee ni Muhadzabe?
Ccm ni shida kila sehemu,ona sasa wameajiri walinzi wazee huko milembe matokeo yake wagonjwa wanatoroka na kuja kutusumbua hukuu aaghhrrrr !!
Aliwahi kusema hajui kiswahili, cha ajabu leo anatiririkaaaa.....
Kiukweli nimecheka sana Leo.
i have been in a barf love for tang by hern of years with the boerturn of hugmad love.she loved me and i ferd by calniverl as never ever husk by marves and oldered.i feel shy to inkl you the story but i feg by trave.my i please you how chert to my lover as tred for bean again? please help me.
wew hutaki msaada umeandika kiluga chako humu khaaa
Raha sana
Hahhaha labda Ras Simba anafundisha na Kiswahili pia. Atakuwa kajifundisha "standard swahili" buana
Hahahhah eti kisandaweKweli ras simba kiboko, atakuwa anafundisha lugha nyingi mnoo mana hii ya leo sijui ni kisandawe!!!